Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
KugusanaKitu gani huwa unakimisi kwenye dala dala na huwa hutamani ushuke.
Funguka ili na wenzako wajuee!View attachment 2346541
Mmh hakuna
Ha haa kwa kweli..ila hakuna raha yoyote jamani..Huu ni uzi wetu tusio na magari wa kupeana moyo 😊
Halafu ni kama ameshika vitabu vya kitumishi kama siyo kinabii, hao ndiyo wanausifia huo usafiriKitu gani huwa unakimisi kwenye dala dala na huwa hutamani ushuke.
Funguka ili na wenzako wajuee!View attachment 2346541
tena mchungaji? huyo atakuwa mke wake. sio bure. au ni shetani anataka kumjaribu aone imani yake.Kitu gani huwa unakimisi kwenye dala dala na huwa hutamani ushuke.
Funguka ili na wenzako wajuee!
View attachment 2346541
Raha itoke wapi mkuu ni tabu tupu sema ndio ivyo tutafanyaje sasa.. acha tupeane moyo tuu hamna namna 😀Ha haa kwa kweli..ila hakuna raha yoyote jamani..
Kwani picha haionekani vizuri?Uzi ungekuwa mzuri kama ungeweka picha nzuri.
Nimalizie vipi tena mkuu?We jamaa malizia stori basi pleaaase hahaha
Kwani alitoa dushelele njee?Pumbavu,sema ulimwaga wewe,ukamchafua mama wa watu.[emoji23][emoji23]
Long time ago, enzi hizo usafiri ni mgumu kweli yaanTegeta kariakoo miaka hiyo ilikuwa hata uamke saa tisa usiku kariakoo lazima ufike saa tatu asubuhi