teac kapex
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 470
- 137
Ndio. Mm ndio naitumia kwaajili ya hilo tuWatumiaji wa Tecno smart Kitochi, Tigo smart Kitochi pamoja na Vodacom smart Kitochi naomba kujua hizo simu kama zina uwezo wa Hotspot, namaanisha kwamba kama nikiweka bando la internet naweza kuitumia hiyo simu kama hotspot kwa simu nyingine au computer? mrejesho tafadhali
MB kuisha si inaendana na matumizi yako broNaiman hazimaliz sana mb uongo???
Ni simple tu. Simu ya button inafungua version ya website ambayo ni basic sana na haina vitu vingi vinavyokua loaded. Smartphone itafungua full mobile website imbayo ina vitu vingi vinavyotakiwa kuwa loaded kma picha, ads, n.k.Yeah but cm kubwa ukisha-on tu data, data zinaanza kuliwa yan hapo hapo utaona Google inaanza kuji-update, whatsp text, Instagram notifications, YouTube, nk sasa nawaza hata kitoch smart kina mbwembwe hizo?
Alafu ushawaza kwann cm ya batan kwa kutumia mb 10 unaweza download audio mbil za nyimbo za bongo but kwa smart ata nyimbo moja haiingii? Na unakuta zote zina mp3 labda ya 1.8?
Ndo mana nikahoji
Kma kwenye smartphone tu. Si unajua mitandao yetu huku haina speed kubwa so haiwezi fikia maximum limit ya hii simu.Swali la nyongeza vip speed yake ukiconnect na hotspot?
Kubwa sana. Ila ni kutegemea na mtandao.Swali la nyongeza vip speed yake ukiconnect na hotspot?
Hiki ni cha kampuni gani voda,tigo au tecno?
Mimi nina tecno t920d kwenye speed napata hadi mb 6 kwa sekunde wakati wa kudownload kwa line ya halotel. Hiki hakina sehemu ya kuswitch 4g only pia ukiunga internet kwenye kompyuta kwa kutumia usb, hostpots inajifunga.Watumiaji wa Tecno smart Kitochi, Tigo smart Kitochi pamoja na Vodacom smart Kitochi naomba kujua hizo simu kama zina uwezo wa Hotspot, namaanisha kwamba kama nikiweka bando la internet naweza kuitumia hiyo simu kama hotspot kwa simu nyingine au computer? mrejesho tafadhali