Marcel_10
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 390
- 161
Habari wakuu
Sikuizi naona IST na Vitz nyingi Sana sinauzwa mitaani..
Nina idea ya Biashara kidogo
Idea yenyewe ni hivi
Natafuta watu 5-10 , Ambao tutaandikishana mkataba , ambapo baada ya kuuza gari, ulete gari yako tukufanyie kazi kwa muda wa miaka miwili (2).
Kwa miaka 2, kila siku utapata hesabu ya elfu 25 ( 25,000/siku)
Maana yake
25,000x7 ( siki 7 )=175,000
175,000x4 ( wiki 4) = 700,000
700,000x12 ( miezi 12 ) =8,400,000
Kwa miaka miwili
8,400,000 x2 (Miaka 2)=16,800,000
Sasa Mimi ( Sisi ) kama kampuni ya usimamizi na watunzaji unatulipa 15% ya pesa ya siku
Manaa yake
15% x 25,000= 3,750
Maana yake badala ya wewe mwenye gari kupokea 25,000 kwa siku ,utapokea 21,250
Kwahivyo
Kwa siku
21,250
Kwa wiki
21,2500x 7= 148,750
Kwa mwezi
148,750 x 4 = 595,000
Kwa mwaka
21,250x 365( siku 365= mwaka )= 7,756,250
Kwa miaka miwili
7,756,250x 2=15,512,500
Baada ya miaka miwili gari yako tunakulipa asilimia 20 ya dhamani ya gari tulikubaliana kwenye mkataba.
Mfano .
Kama IST tuliisaminisha kwa 8million
Maana yake
20% x 8,000,000= 1,600,000
Hivyo kwenye 15,512,500 ya malipo yako kwenye miaka miwili , tutakuongezea1,600,000 ambayo sawasawa na 17,112,500 utaalipwa. Na baada ya hapo hautakuwa na umiliki tena wa chombo chako.
Note
Gharama za garage ni za dereva na kampuni
Hii project itafanyika Dar es salaam pekee
Kama upo interested
Kwa dereva na mwenye gari (bosi )
WhatsApp / sms 0737480658
KARIBUNI KWA MAONI NA USHAURI
Warnings
Wabongo mpo negative sana nawafahamu, not a giver nor good counselors.
Kama upo hivyo kambali na huu Uzi
Ceteris Paribus
Sikuizi naona IST na Vitz nyingi Sana sinauzwa mitaani..
Nina idea ya Biashara kidogo
Idea yenyewe ni hivi
Natafuta watu 5-10 , Ambao tutaandikishana mkataba , ambapo baada ya kuuza gari, ulete gari yako tukufanyie kazi kwa muda wa miaka miwili (2).
Kwa miaka 2, kila siku utapata hesabu ya elfu 25 ( 25,000/siku)
Maana yake
25,000x7 ( siki 7 )=175,000
175,000x4 ( wiki 4) = 700,000
700,000x12 ( miezi 12 ) =8,400,000
Kwa miaka miwili
8,400,000 x2 (Miaka 2)=16,800,000
Sasa Mimi ( Sisi ) kama kampuni ya usimamizi na watunzaji unatulipa 15% ya pesa ya siku
Manaa yake
15% x 25,000= 3,750
Maana yake badala ya wewe mwenye gari kupokea 25,000 kwa siku ,utapokea 21,250
Kwahivyo
Kwa siku
21,250
Kwa wiki
21,2500x 7= 148,750
Kwa mwezi
148,750 x 4 = 595,000
Kwa mwaka
21,250x 365( siku 365= mwaka )= 7,756,250
Kwa miaka miwili
7,756,250x 2=15,512,500
Baada ya miaka miwili gari yako tunakulipa asilimia 20 ya dhamani ya gari tulikubaliana kwenye mkataba.
Mfano .
Kama IST tuliisaminisha kwa 8million
Maana yake
20% x 8,000,000= 1,600,000
Hivyo kwenye 15,512,500 ya malipo yako kwenye miaka miwili , tutakuongezea1,600,000 ambayo sawasawa na 17,112,500 utaalipwa. Na baada ya hapo hautakuwa na umiliki tena wa chombo chako.
Note
Gharama za garage ni za dereva na kampuni
Hii project itafanyika Dar es salaam pekee
Kama upo interested
Kwa dereva na mwenye gari (bosi )
WhatsApp / sms 0737480658
KARIBUNI KWA MAONI NA USHAURI
Warnings
Wabongo mpo negative sana nawafahamu, not a giver nor good counselors.
Kama upo hivyo kambali na huu Uzi
Ceteris Paribus