shonkoso
JF-Expert Member
- Mar 13, 2015
- 687
- 1,454
Nikiwa Form Four mbele ya wanafunzi wa kike na wakiume kadhaa, nilijaribu kumtongoza dada fulani hivi mbele za watu akapayuka, NIMEKWAMBIA NENDA KATOE KWANZA HILO GOVI LAKO, NDO UJE UNITONGOZE, ni kweli kwa utamaduni wa kabila letu kutahiriliwa ilikuwa ni option, lakini mimi nilikuwa nimetahiriwa kitambo sana coz sema tu rafiki zangu walikuwa wana utani sana na watu toka eneo la kwetu mkono wa sweta mkono wa sweta.
Baada ya yule vingi kutamka hayo maneno ghafla nilijihisi kama nimedondoshewa jiwe la Fatuma, sijawahi, haikuchukua muda sana karibia shule nzima ilikuwa inajulikana, I felt so bad, japo huyo msichana alikuja kuniomba msamaha baadae sana, ili kiukweli nilitokea kuwachukia sana wanawake, nilikaa kama miaka sita hivi bila kutongoza.
Karibu na wewe kama umewahi patwa na kisa fulani sababu ya tongozatongoza.
Baada ya yule vingi kutamka hayo maneno ghafla nilijihisi kama nimedondoshewa jiwe la Fatuma, sijawahi, haikuchukua muda sana karibia shule nzima ilikuwa inajulikana, I felt so bad, japo huyo msichana alikuja kuniomba msamaha baadae sana, ili kiukweli nilitokea kuwachukia sana wanawake, nilikaa kama miaka sita hivi bila kutongoza.
Karibu na wewe kama umewahi patwa na kisa fulani sababu ya tongozatongoza.