Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto ana umri gani? Umeuliza kwa wataalamu (madaktari) ?habar wanaaMMU!!
Naomben msaada kwa anayejua dawa ya mtoto ambaye utosi hauchez nifanyeje ili kuboost utosi ucheze
Natanguliza shukran
Mkuu hebu kuwa serious hv unapoishi hakuna hospital jirani? Madaktari hawatibu kwa kutumia mitandao ya kijamii peleka mtoto akachunguzwe kama kuna tatizo libainike na litatuliwe. Haya mambo ya kuulizia kila kitu kwenye mitandao matokeo yake mnaleta watoto hospital wakiwa na hali mbaya baada ya kushauriwa na kuwanywesha madawa ya kienyeji. Ww unawezadhan ana tatizo kumbe hana au analo kweli hivyo ni muhimu uchunguzi wa kitabibu ukafanywa hospital na sio hapa jfhabar wanaaMMU!!
Naomben msaada kwa anayejua dawa ya mtoto ambaye utosi hauchez nifanyeje ili kuboost utosi ucheze
Natanguliza shukran
kuna mambo yanashangaza sana yan mtu anaumwa anakuja jf kuuliza eti nitumie dawa gan??habar wanaaMMU!!
Naomben msaada kwa anayejua dawa ya mtoto ambaye utosi hauchez nifanyeje ili kuboost utosi ucheze
Natanguliza shukran
habar wanaaMMU!!
Naomben msaada kwa anayejua dawa ya mtoto ambaye utosi hauchez nifanyeje ili kuboost utosi ucheze
Natanguliza shukran
Tuwe serious bas jaman.kuna mambo yanashangaza sana yan mtu anaumwa anakuja jf kuuliza eti nitumie dawa gan??
hv ndo watz tumekua vichaa hv badala ya kwenda hospital unakuja jf kuomba ushauri
yan saa hv ni common kabsa huko insta mtu anaenda kwenye page za udaku kuomba ushaur wa magonjwa yake
Hakuna shida ndugu,mwanangu pia utosi ulikuwa haudundi nikapagawa but katika kuuliza nikaambiwa sio ishu.Ana miez mitatu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] yani nmecheka sana,ila swali zuri sana ulilompa!kuna watu hewa kabisaWewe ni binadamu kama sisi au ni kuku kama unavyoonekana hapo kwenye profile
habar wanaaMMU!!
Naomben msaada kwa anayejua dawa ya mtoto ambaye utosi hauchez nifanyeje ili kuboost utosi ucheze
Natanguliza shukran