Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Hii itasaidia na watu ambao hatuna watoto na mungu akipenda soon tutaitwa mababa
 
Mshana ungefafanua vizuri kuhusu Asali, nijuavyo ni hatari sana kumpa mtoto mdogo Asali mbichi. At least akishazidi miaka mi5.

Kuhusu Pneumonia inasababishwa zaidi na baridi. Ukimwona mtoto anatetemeka sanaaa wakati wa baridi usitumie dawa yoyote zaidi ya chai ya rangi yenye tangawizi kidogo then mfunike alale. Akiamka yupo shwariii.

Shukran mshana jr kwa ubunifu wa mada hii.
 
Naufatiria kwa makini sana huu uzi...
Kuna wazazi underground ndo muda wa kufahamiana!!!
 
Hili la chakula aina moja teh ni shida utadhani kuna ratiba ya kupewa uji, watoto tunawaonea kuwapa uji kila siku kila siku ndo maana hata wanakua wanasumbua kuunywa
Mtoto anatakiwa ajaribiwe vyakula tofauti tofauti ajue ladha..
asubuhi uji
Mchana mpondee maboga
Mpondee karoti
Nk
Nk

Sema tatizo ni umasikini tu
 
Kuna vikohozi vikavu visivyokoma hapa dawa yake ni Kijiko kidogo cha asali na kama una maziwa fresh unaweza kumchanganyia humo...hii haina madhara kabisa na kama ni mdogo zaidi humpi kwenye Kijiko bali unamlambisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…