Kuna ukweli dhahiri kwenye hili, tena wazazi wa yule mtoto inaelekea ni mafundi hasaWazazi tuepuke kutenda tendo la ndoa tukiwa na watoto wachanga/wadogo vyumbani.
Tunalala na wanetu vitandani na tunafanya tendo tukidhani vitoto vimelala.
Vinaona. (Ile picha ya kale katoto kaliko lazwa na kanakata kiuno)
Gesi hiyo akishakunywa maziwa muweke begani Misha msugue gently mgongoni mpaka acheueMshana Jr habar mkuu. Mtoto mchanga wa wiki 4( mwezi 1) kupiga kwikwi inaadhiria nini? Maziwa amekunywa.
Wakati namtafuta nilifuata maagizo.Hongera Kako salama kuna wengine ni vilio mwanzo mwisho
Post sent using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23]good for youWakati namtafuta nilifuata maagizo.
1: Kulala mapema 2: kufanya mazoezi 3: balanced diet 4: Mwenzangu sikumbugudhi .manii yalikuwa mubashara[emoji3] [emoji3]
Bro mshana nmechelewa kidogo kuona huu uzi wako lkn sidhani kama nmechelewa sana kuzipata nasaha zako.Wengi wetu humu tunalea ama watoto wetu ama watoto wa ndugu jamaa na marafiki.
Tumekuwa na mada maalum nyingi za mambo tofauti kama urembo magari simu n.k. lakini hatujawahi kuwa na mada hii maalum ya watoto.
Kumlea mtoto tangu kutungwa kwa mimba mpaka kuzaliwa na hatimaye kulelewa mpaka kuvuka kile kipindi cha hatari si jambo dogo.
Changamoto ni nyingi hasa na zingine hatujui jinsi ya kuzitatua lakini tukiwa na hii mada hapa jukwaani tutashirikishana na kujuzana mengi kwa haraka na uhakika zaidi.
Kuna vitu vidogo vidogo ambavyo havihitaji daktari au ufumbuzi wake ni kama huduma ya kwanza kabla hujapata usaidizi mwingine. HII NI TOFAUTI NA JF DOCTOR.
Kwa mfano, ufanyeje;
-Mtoto anapolialia
-Mtoto anapopata gesi tumboni
-Mtoto anapopaliwa kila akila chochote
-Mtoto anaposhtuka shtuka usiku na kulia sana nk k
Hatari zimnyemeleazo mtoto;
-Umeme
-Maji
-Moto
-Mwanga wa Tv
-Simu, mawimbi yake
-Vyombo na vitu mbalimbali
-Madawa na vipodozi nk nk
Hii ni mada pana yenye mambo mengi mno.
Kwa mfano kitunguu saumu ni tiba kwa mtoto anayelia na kushtuka usiku, Kijiko cha asali ni tiba kwa mtoto anayekohoa mfululizo (ukiacha kifua na mafua), Vitu kama mahirizi ya kiunoni na mkononi havimsaidii mtoto, Muda mwingi kumvalisha mtoto nguo nyingi humsababishia nimonia n.k.
Mambo ni mengi...
IKIWAPENDEZA ITAKUWA NI MADA MAALUMU YA WATOTO..
Mlee mtoto katika njia impasayo naye hataiacha..!
Pole sana sana nakushauri uende ukaione damu yako tafadhali..kuna kitu mtoto anapitia na hicho ndio kinamletea vilio vya kila Mara...please jitahidi uendeBro mshana nmechelewa kidogo kuona huu uzi wako lkn sidhani kama nmechelewa sana kuzipata nasaha zako.
Tatzo langu brother ni kwamba ktk harakat za utafutaj nlifanikiwa kukutana na binti nkampa ujauzito nkawa natoa mahtaj yote stahiki mpaka alipojifungua na mpaka sasa bado natoa huduma kwa mama na mtoto ila toka mtoto azaliwe mpaka sasa ana miez 7 sijawah kufanikiwa kumuona kutokana na nature ya kaz yangu na hata huduma nnazotoa huwa naztoa kwa njia ya mitandao.Tatzo lililopo brother ni kwamba huyu mtoto mama yake amekuwa akinipa taarifa kwamba huwa analia sana usiku kias kwamba huwa anahs anaumwa na anapompeleka hospital huwa hakutwi na tatzo lolote kiafya,mama yake amekuwa akinitaarifu kuwa huwa hawalali usiku kwasababu ya kilio cha mtoto,huwa anakesha nae had kunapokaribia kupambazuka ndipo anatulia na kulala, tatzo hili sio la moja kwa moja bali ni la msimu yaan anaeza akafululiza kulia wik nzma kisha akaacha kwa siku kadhaa na kuanza kulia tena.Brother hapa tatzo linaweza kuwa nn na vp naweza nkalitatua?nmeanzia mbali sana ili kukupa mwanga zaid wa kuweza kunishaur...Asante
Asante brotherPole sana sana nakushauri uende ukaione damu yako tafadhali..kuna kitu mtoto anapitia na hicho ndio kinamletea vilio vya kila Mara...please jitahidi uende
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Asante maana nina katoto kangu nadhani ntakafanya katimize ndoto zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ale na kunywa vyote anavyopenda huku akiepuka kwa kiasi kikubwa vyakula vya vinywaji vya makopo, artificial na vitu kama nyama za kisasa na mayaiHuu uzi umenihusu, naomba kuuliza?
Mpenzi wangu anaujazito wa kama week moja, je atumie chakula gani Kitakacho mpa nguvu na mimba kuendelea vizuri.?
Upande wa matunda pia pamoja na vinywaji je atumie kinywaji gani? na asitumie kinywaji kipi? Matunda atumie matunda gani? Na asitumie yapi?
Natanguliza shukuruani, ndo naingia kwenye majukumu.
Ale na kunywa vyote anavyopenda huku akiepuka kwa kiasi kikubwa vyakula vya vinywaji vya makopo, artificial na vitu kama nyama za kisasa na mayai
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mimba yake imezipenda huna jinsiVipi kuhusu hizi soda, haziwezi kuleta athari yeyote
Wiki nane anaweza kuanzaSawa, vip taratibu za kuanza kiliniki ? Ni kwa muda gani??