Kwa wenye 50 and above: Mi hata sijui tena............wewe je!

Eeka Mangi

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2008
Posts
3,173
Reaction score
482
Ah bwana mi hata sijui tena! Anajibu jamaa mmoja baada ya kuulizwa na mwenza. Jamaa anasimulia alivyokuwa sensitive miaka hiyo. Anasema akiwa na 15yrs akiona ile nguo ya ndani ya ke anamaliza kazi. Alipokwenda O level alipenda sana busu! Kisha wakaanza kumnong'oneza sikioni saa nyingine ulimi unamgusa sikioni. Ikawa raha sana. Zikaongezeka staili mbalimbali. Ameoa na sasa ana watoto. Kwa umri wa miaka 50 sasa hajui tena ashikwe wapi ili asikie raha! Anafanyia mazoea tu hajui tena! Wewe unazo sehemu muhimu bado?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…