Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,876
- 2,190
Nimejitahidi kupata maelekezo ya hizi aina mbili za bajaji
re 4 205 wanaisifia wengi ni ngumu na imara lakini shida ipo kwenye engine kuchangannyika na oil ni haraka
kuliko Tvs king
na kwa upande wa Tvs wengi wanadai wanauza jina tu na kujipanga kwao ila si lolote kwa barabara zetu za vumbi
ipo kama boxer Bm pikipiki
lakini ndizo nyingi hebu tuelewashane hili wajuvi
hizi Re zipo mbili two stroke na four stroke kama ndizo ngumu mbona chache sokoni na hili la kuchanganya oil vipi?
re 4 205 wanaisifia wengi ni ngumu na imara lakini shida ipo kwenye engine kuchangannyika na oil ni haraka
kuliko Tvs king
na kwa upande wa Tvs wengi wanadai wanauza jina tu na kujipanga kwao ila si lolote kwa barabara zetu za vumbi
ipo kama boxer Bm pikipiki
lakini ndizo nyingi hebu tuelewashane hili wajuvi
hizi Re zipo mbili two stroke na four stroke kama ndizo ngumu mbona chache sokoni na hili la kuchanganya oil vipi?