Ungeenda hapo kisangani Mkuu unazunguka wapiNdo maana nmeomba kama mtu anafahamu aniambie ni maduka gani? Maana nmeshazunguka sana.
Agiza Online mkuu, sindio mnavyofunganaga Mota humu😂😂😂 oh spea zipo kila mahali sikuhizi msituchoshe na maswali ya kipuuzi😂!View attachment 1717193
Kuna Jeep inatumia gearbox Oil ya ATF+4. Je ni wapi kwa hapa Dar wanaweza kuwa wanauza hiyo Oil?
Natanguliza shukrani.
Aende pale atapata hiyo anayotaka na wana connection kwa kitu ambacho hawana huwezi kutafuta hivyo vitu nyumbani mtaa ule parts zipo za kutosha...Kisangani ni Toyota na Nissan
Duka linaitwaje?Kama hiyo Oil niliyokuwa natafuta kuna mshikaji anaziuza ilala. Tena certified kabisa ya Mopar.
Sema tu bei imechangamka.
Mkuu unaweza kusaidia jina la hili duka?Kama hiyo Oil niliyokuwa natafuta kuna mshikaji anaziuza ilala. Tena certified kabisa ya Mopar.
Sema tu bei imechangamka.
Alaa Wanasema eti dunia ipo kiganjani 🌎Agiza Online mkuu, sindio mnavyofunganaga Mota humu😂😂😂 oh spea zipo kila mahali sikuhizi msituchoshe na maswali ya kipuuzi😂!
Tafuta spear online maana mkiambiwaga Toyota ndio gari rafiki hapa kwetu mnakazaga ubongo. Ingekuwa Prado usingemaliza maduka ma3 ushapata unachotafuta.
Kuna jamaa anaitwa RADI yupo Sinza kijiweni ukifika pale PUMA utaonyeshwa Duka lake.View attachment 1717193
Kuna Jeep inatumia gearbox Oil ya ATF+4. Je ni wapi kwa hapa Dar wanaweza kuwa wanauza hiyo Oil?
Natanguliza shukrani.
Agiza Online mkuu, sindio mnavyofunganaga Mota humu[emoji23][emoji23][emoji23] oh spea zipo kila mahali sikuhizi msituchoshe na maswali ya kipuuzi[emoji23]!
Tafuta spear online maana mkiambiwaga Toyota ndio gari rafiki hapa kwetu mnakazaga ubongo. Ingekuwa Prado usingemaliza maduka ma3 ushapata unachotafuta.
Unapata Amazon au Ebay.View attachment 1717193
Kuna Jeep inatumia gearbox Oil ya ATF+4. Je ni wapi kwa hapa Dar wanaweza kuwa wanauza hiyo Oil?
Natanguliza shukrani.
Kuna jamaa anaitwa RADI yupo Sinza kijiweni ukifika pale PUMA utaonyeshwa Duka lake.
Swala ni moja tu kubwa aagize online[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu nacheka tuu comment yako [emoji23][emoji23][emoji23] ila umempiga sana kwenye mshono, utafumuka.. msaidie link za online[emoji23][emoji23]
Acha ujinga prado ni za madem🤣Agiza Online mkuu, sindio mnavyofunganaga Mota humu😂😂😂 oh spea zipo kila mahali sikuhizi msituchoshe na maswali ya kipuuzi😂!
Tafuta spear online maana mkiambiwaga Toyota ndio gari rafiki hapa kwetu mnakazaga ubongo. Ingekuwa Prado usingemaliza maduka ma3 ushapata unachotafuta.