Bexb
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 715
- 1,619
Habari ya wakati huu wakuu. Nimerudi tena ili tuweze kukumbushana baadhi ya mambo ambayo ni muhimu katika uendeshaji wa kampuni zetu
Kufikia leo tarehe 4 mei tumebakiwa na takribani siku 57 kuwasilisha ritani ya mahesabu ya mwaka ya kampuni yaani Annual Audited Financial Statement ambayo ukomo wake wa uwasilishaji ni tarehe 31 juni, 2024 kwa kampuni zilizoingia ama zilizokuwepo sokoni kwa mwaka wa kodi 2023 ambao ulianza mwezi Januari 2023 na kumalizika mwezi Desemba 2023.
Hivyo basi nikukumbushe kuwa hili ni takwa la sheria za kodi na endapo utashindwa kulitekeleza utakutana na adhabu za fine kutoka TRA.
Jitahidi kupata muhasibu wako mapema aweze kukuandalia hesabu hizo ili kuepuka na kero ya kuwasilisha mwishoni kwani wahasibu wengi hupandisha gharama zao na pia wakati mwingine huweza kutokea changamoto ya mtandao.
Kufikia leo tarehe 4 mei tumebakiwa na takribani siku 57 kuwasilisha ritani ya mahesabu ya mwaka ya kampuni yaani Annual Audited Financial Statement ambayo ukomo wake wa uwasilishaji ni tarehe 31 juni, 2024 kwa kampuni zilizoingia ama zilizokuwepo sokoni kwa mwaka wa kodi 2023 ambao ulianza mwezi Januari 2023 na kumalizika mwezi Desemba 2023.
Hivyo basi nikukumbushe kuwa hili ni takwa la sheria za kodi na endapo utashindwa kulitekeleza utakutana na adhabu za fine kutoka TRA.
Jitahidi kupata muhasibu wako mapema aweze kukuandalia hesabu hizo ili kuepuka na kero ya kuwasilisha mwishoni kwani wahasibu wengi hupandisha gharama zao na pia wakati mwingine huweza kutokea changamoto ya mtandao.