Kwa wenye ufahamu wa course ya procurement and supply... Nataka kusoma postgraduate hapo baadae..!

uwe na bachelor degree yoyote ile utafit kusoma

mkuu mwaka wa bachelor ambao ni wa mwisho nina mpango wa kutokuusoma. Hivyo basi naishia higher diploma, kwa mujibu wa score za nacte. Hapo ndipo najiuliza kama itawzekana?
 
mkuu mwaka wa bachelor ambao ni wa mwisho nina mpango wa kutokuusoma. Hivyo basi naishia higher diploma, kwa mujibu wa score za nacte. Hapo ndipo najiuliza kama itawzekana?

Kwanini usimalize mpk utunukiwe bachelor ?? Why uishie higher diploma ??
bila ya kuwa na advance diploma au bachelor degree huwez kusoma Postgraduate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…