Magere Cheops
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 213
- 306
Habari ndugu zangu,
Naomba msaada na ushauri kuhusiana na hii freezer yangu.
Nilinunua mpya dukani hapo Katoro kwenye maduka ya vifaa vya umeme ni kampuni ya Hisense ina ujazo lita 100.
Nimetumia kwa muda wa wiki tatu, ingawa wiki ya kwanza haikuwa na changamoto ila kwa hizi wiki mbili imekuwa na shida hizi.
1: Inachukua muda mrefu sana kugandisha barafu (zaidi ya masaa 48) sijui kama ni kawaida maana sijawahi kutumia.
2: Inapiga short sasa kila unapoigusa ikiwa imechomekwa kwenye socket haijalishi kuna umeme au hakuna umeme.
Naomba kwa anayefahamu tatizo au mzoefu anisaidie hapa.
Je, inawezakuwa na tatizo gani waungwana
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Naomba msaada na ushauri kuhusiana na hii freezer yangu.
Nilinunua mpya dukani hapo Katoro kwenye maduka ya vifaa vya umeme ni kampuni ya Hisense ina ujazo lita 100.
Nimetumia kwa muda wa wiki tatu, ingawa wiki ya kwanza haikuwa na changamoto ila kwa hizi wiki mbili imekuwa na shida hizi.
1: Inachukua muda mrefu sana kugandisha barafu (zaidi ya masaa 48) sijui kama ni kawaida maana sijawahi kutumia.
2: Inapiga short sasa kila unapoigusa ikiwa imechomekwa kwenye socket haijalishi kuna umeme au hakuna umeme.
Naomba kwa anayefahamu tatizo au mzoefu anisaidie hapa.
Je, inawezakuwa na tatizo gani waungwana
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app