Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Chukua hii comment... Belta utachekesha na ule muonekano wakeBasi itaweza. Service ukifanya kwa wakati na vizuri.
Ila kwa bei ya JP hazitatofautina na Corolla, Runx, Alex, IST, Raum, etc ambazo me naona zina muonekano mzuri zaidi.
Asante sana, Belta physically sijawahi kuiona! Ila alitaja platz, jinsi platz ilivyo kwa kweli siipendi kama zinashabihiana basi nadhani nahitaji kuwa na a second thought katika maamuzi yangu!Chukua hii comment... Belta utachekesha na ule muonekano wake
Its of top notch! Especially when you consider regular maintanance on due time. On top of all its a very fuel efficient commuter.Thank you pal, what about its reliability?
Fielder ni gari nzuri sana kwa kweli. Its my dream japo iko chini sana ila its a better car hasa ukipata yenye 1800cc itakuwa bomba zaidi.Labda Corolla Fielder naona ni nzuri japo bei juu kidogo.
Nitaendelea kuifanyia research, sijawahi iona live ila kwenye picha ni nzuri!Fielder ni gari nzuri sana kwa kweli. Its my dream japo iko chini sana ila its a better car hasa ukipata yenye 1800cc itakuwa bomba zaidi.
Belta ni gari nzuri hasa kwa Miradi ambayo iko mjini maana inatumia mafuta kidogo na kuna barabara nzuri,tatizo lake ina dashboard ya katikati halafu kikiwa spidi kubwa hakina utulivu barabarani.,LAKINI kama miradi yako iko vijijin kama mimi basi chukua,TERRIOUS KID,AU PROBOX/SUCCEED,zote zina chin ya cc1500 zinavulia sana shida.,zina enda masafa marefu bila shida,.kwa DAR- MBEYA naenda na kurudi kila baada ya wiki mbili kwa kutumia probox bila shida yoyote.Wakuu, naombeni mwenye uzoefu na hicho kigari.
Nimeangalia beforward nikaona kwa mazingira ya sasa ambayo nahitaji kufanya heavy investments, nahitaji kuwa na gari ndogo yenye gharama ndogo za uendeshaji hivyo chaguo langu limeangukia kwenye gari hii tatizo sina uzoefu nayo kuhusu uimara wake (given utunzanji upo constant).
Kwa sasa nina Toyota Harrier 3.0 L (old model) mwaka wa 5 huu hivyo nahitaji kubadilisha kabla haijaanza kuniletea matatizo, na pia nahitaji tu gharama zangu ziwe chini ili savings zangu ziwe kubwa nifanikishe lengo tajwa hapo juu.
Baada ya kufanikisha investments zangu ndiyo nitarudi kwenye SUV nizipendazo ambazo ni kati ya BMW X5/ Benz M Class au GL Class au Volvo XC 90 (that is five years to come mwenyezi Mungu akibariki).
Wenye uzoefu na Belta naombeni ushauri wenu. Japo kwa kweli moyo unaniuma kuacha comfortability ya Harrier.
View attachment 1727815
Toyota Belta
Asante sana kwa ushauri kiongozi, nakubaliana na wewe probox ni gari nzuri pia na walau ipo juu kiasi!Belta ni gari nzuri hasa kwa Miradi ambayo iko mjini maana inatumia mafuta kidogo na kuna barabara nzuri,tatizo lake ina dashboard ya katikati halafu kikiwa spidi kubwa hakina utulivu barabarani.,LAKINI kama miradi yako iko vijijin kama mimi basi chukua,TERRIOUS KID,AU PROBOX/SUCCEED,zote zina chin ya cc1500 zinavulia sana shida.,zina enda masafa marefu bila shida,.kwa DAR- MBEYA naenda na kurudi kila baada ya wiki mbili kwa kutumia probox bila shida yoyote.
Fielder ndefu kama gari za kubebea maitiLabda Corolla Fielder naona ni nzuri japo bei juu kidogo.
Hahahaha [emoji38][emoji38]Fielder ndefu kama gari za kubebea maiti
Ndiyo mkuu, ila kama una la kuongeza karibu sana.Natumae umepata muongozo...
Mkuu hiyo gari inaendaje beiNdiyo mkuu, ila kama una la kuongeza karibu sana.