pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
post gani uliomba! tiririkaaaaaaaaaaaa
Lazima ujue vision, mission na objectives za kampuni, yo duties and responsibilities as advertised in the media, general knowledge....soma pia maswali ya professional yako, sijawahi kufanya lakini hawawezi kwenda mbali na hapa..........EXAMINATION Z NTHN BT CONFIDENCE
husiangaike na mission na vision,komaa na ishu za proffessional yako,hawa jamaa wanaangalia competence only hawanaga porojo
Written n oral zote ni mwendo wa professional yako so komaa ka unapga pepa za bodi(cpa)
Written n oral zote ni mwendo wa professional yako so komaa ka unapga pepa za bodi(cpa)
hawajamaa nimefanya nao interview 3,mbili maswali yalikuwa ya proffessional.lakini hio moja ilikuwa post ya system admin tuliambiwa tuandike wimbo wa taifa,bendera ya tz inarangi ngapi za zina indicate nini?,nchi ya mwisho afrika kupata uhuru etc.waliniboa sana
Kwanza maswali yatakuwa 5. Kama umeomba kazi ngazi ya Afisa (Degree holder) lugha ya Malikia itatumika. Kuhusu oral interview you must tell us your historical background;then Why have you applied for the said job, sometimes what criteria do you have so that you can suit for this job; ethics in civil service. Baada ya hapo utamiminiwa maswali ya proffesion yako. Lakini kumbuka kupitia website ya Wizara au Kampuni unayoomba kazi na kufahamu majukumu yake na majukumu ya cheo unachoomba. Unaweza pia kutafuta changamoto zinazowakabili maana unaweza ulizwa swali jinsi ya kuzitatua. Kuhusu written interview komaa na profession yako tu.
kwa hiyo post sina uzoefu nayo!mm nilifikiri presidential post kama yangu ninayofanya USA sasa hivi!Nafasi ya afisa tarafa
kwa hiyo post sina uzoefu nayo!mm nilifikiri presidential post kama yangu ninayofanya USA sasa hivi!
yes we can!
acheni kuwakatisha tamaaa watu nyie mmebewa na huu mfumo wa kifisadi mnakula neema mtoni mnatudharau watu cyo?MDARAU MIMBA MUGUU HUOTA TENDEkwa hiyo post sina uzoefu nayo!mm nilifikiri presidential post kama yangu ninayofanya USA sasa hivi!
yes we can!
utani tu ndugu yangu!usimaindi nilitaka ucheke kidogo ki ukweli sifahamuObama una masihara wewe haya bana thanx mwana
ndugu yangu mm nilitaka watu wafurahiiiii tu!sasa wewe mpaka una nilaani mguu uote tende!alafu mm sijabebwa na mfumo wa kifisadi futa kauli yako! wala sina dharauacheni kuwakatisha tamaaa watu nyie mmebewa na huu mfumo wa kifisadi mnakula neema mtoni mnatudharau watu cyo?MDARAU MIMBA MUGUU HUOTA TENDE
Mungu akuzidishie mkuu umenipa mwanga sana vp kwenye swala ka what creteria do i have naweza kuelezea experience yangu? Na hapo kwenye ethics n civic service sijaelewa nisaidie