Kwa wenyeji wa Bukoba mjini

Chukua boda buku unafika popote Kati ya hizo,hapo hapo town
 
MOD tumechoka kudhalilishwa. Piga ban sampuli ya watu aina hii.
 
alibaaliyo Acha vitu vya kike, Apigwe ban kwa kosa gani?
Inafaa wewe ndio ule BAN Kwa uchochezi.
 
Apigwe ban kwa kuwa anadhalilisha tamaduni za watu. Nani alikwambia kuwa ukienda Bukoba hicho ndio kitambulisho cha huko.
Kila kabila lina tamaduni zake ziheshimiwe.
 
NIMEAMBIWA MWAZILISHI WA JF NI MZALIWA WA BUKOBA. ANGALAU MPE HESHIMA YAKE KWA KUANZISHA JUKWAA LINALOKUPA FURSA YA KUTOA MAWAZO YAKO. I
 
Hivi katerero inapatikana wapi hapa nchini naitafuta sana kwa tochi
 
Jamani wenyeji wa bukoba, Lodge gani nzuri ya kufikia kwa bajeti ya 20 mpaka 30? Nahitaji tu usafi, utulivu na security
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…