Habari Wana JF ,
Naomba mawazo yenu, Nina mtaji wangu nataka nifungue saruni ya kike Mafinga mjini.
Je, Ni sehemu gani , au mitaa gani itanifaa kwa kazi hiyo?
Habari Wana JF ,
Naomba mawazo yenu, Nina mtaji wangu nataka nifungue saruni ya kike Mafinga mjini.
Je, Ni sehemu gani , au mitaa gani itanifaa kwa kazi hiyo?