Kwa wote wanaobeza vyuo binafsi, wanahitaji kurudishwa darasani...

Hata shule Binafsi miaka ya 80s' na 90s' zilikuwa zinabezwa sana tena sanaaa!!!!

Vipi miaka hii...? Zinanyenyekewa na kupewa heshima ya juu....Watu/viongozi wa juu ea Serikali hawalali kusaka pesa kupeleka wanao...

Only time will tell...Wait and see....

Harvard ni Private University
Boston Collage ni Private
Massachusset ni Private
George Town ni private
Notre Dame University ni Private

.......Only time will tell.......

Kejeli hizi zitakwisha tuu..
 
najua mengi,asante kwa kuongezea uzito,ndio mana nilitaka wanasifia government institutions waniambie ni nchi gani vyuo ama shule za uma ni bora kuliko binafisi,ndo mana hawajajibu kwa kuwa hawana mfano,private ni kitu kingine kabisa
 
najua mengi,asante kwa kuongezea uzito,ndio mana nilitaka wanasifia government institutions waniambie ni nchi gani vyuo ama shule za uma ni bora kuliko binafisi,ndo mana hawajajibu kwa kuwa hawana mfano,(private ni kitu kingine kabisa)
PRIVATE mwisho ni sekondari tena kwa kuibaiba mitihani!Lakini kwa CHUO KIKUU hamna kitu kabisa! wewe chuo gani mwalimu asipotoa A anaulizwa? huoni wapo kibiashara zaidi?
 
BABA MALECTURE WAKO MAKINI SANA MJOMBA MIMI NI SHAHIDI ILIKUWA NAANDIKA ESSAY KIMAGUMASHI ALISOMA KARIBU WANAFUNZI 350 WOTE.JAMAA WAPO MAKINI SANA ,LABDA AKIAMUA KUWALEGEZEA AU AWAKADILIE WOTE MAANA AAJUA HAPA HAKUNA HATA A,B OR C KUTOKAANA NA MTIHANI ALIOTOA....natoa mtihani ambao utakuwa "easy to mark"yaani nyanja kibao
 
PRIVATE mwisho ni sekondari tena kwa kuibaiba mitihani!Lakini kwa CHUO KIKUU hamna kitu kabisa! wewe chuo gani mwalimu asipotoa A anaulizwa? huoni wapo kibiashara zaidi?
kuna chuo kimoja mwalimu akitoa A nyingi anaulizwa kwanini,umewapendelea nini.lakin jamaa yangu mmoja eti lecture anaambiwa kwanii hakuna A"s..ref to BIG RESULT NOW.
 
kila chuo kinasifika kwa namna inavyowajenga wanafunzi wake.

huwezi kugeneralize the whole university kuwa ni bora kuliko chuop kingine hapo hoja haina mashiko....

tunapojadili ubora wa vyuo tunazingatia ubora wa course zinazotolewa chuoni, huwezi kusema eti kwa kuwa UDSM ni

bora aFRICA ukimchukua mwanafunzi wa UDSM aliyesoma mambo ya wildlife na tourism unaweza mlinganisha na

mwanafunzi wa mweka la khasha, wala mwanafunzi aliyesoma SEKOMU special needs education unaweza mlinganisha na

yule wa UDOM la khasha hao wote wanaburuzwa pamoja na majina yao makubwa ya vyuo, kwa hiyo ni ukweli usio pingika

kuwa tunaangalia ubora wa chuo kwa kuzingatia course zinazotolewa na ufanisi wa zao la chuo(wanafunzi) wakiwa fields sio mlete siasa za kuponda vyuo hapa badilikeni watz...
 
Mleta mada una hoja nzuri na umekuja na facts.
Katika vyuo vyote kwenye masomo ambayo ni "core" lazima pawepo na external moderator kwa ajili ya kuhakiki mtihani wa final kama upo katika standard. Hii nimeiona kwenye masomo yote ya biashara mfano b/com, a/c bba ambapo moderator ni nbba, na wanafanya hivyo ili kutoa exemption wakati mtu unafanya cpa. Pia kwa law nao wanapimwa na school of law na procure wana bodi yao.
Usahishaji wa mitahani ya chuo; mwalimu wa somo husika anasahisha swali moja tu na pia kuna external examiner kuanzia wakati wa ufanyaji wa mitihani, kuhifadhi kusahisha na kutoa matokeo
Ili kumprove vyuo vya serilali ni bora kuliko pvt/kinyume chake mtu aje hapa atoe data za wanafunzi waliofaya law school. Na serikalini wakafaulu kwa jiasi gani na pvt wakafeli kiasi gani/kinyume chake. Pia aje na data za kuonyesha watu waliofanya mitihani ya bodi kama ya nbba uhandishi na procurement wamefanya mtihani wangapi na kundi gani limeongoza kufaulu na lipi kufeli kwa idadi kubwa.
Ila pia atuonyeshe trend ya walau miaka mitano ili kuleta ulinganifu sawa!
Mi sijui wapi ni wazuri zaidi ya wengine maana sina hizo data ila nafahamu shule ni kichwa cha mtu zaidi kuliko chuo alichosoma maana wapo waliosoma vyuo mnavyoviita vizuri na ni wabovu na wapo waliosoma vyuo mnavyoviita vibovu na ni wazuri kitaaluma.
Tujibu kama wasomi maana wasomi hawaropoki wala kukurupuka. Jibu kwa data na fact na si tu kwa sababu hutaki jwa sababu hutaki
 
PRIVATE mwisho ni sekondari tena kwa kuibaiba mitihani!Lakini kwa CHUO KIKUU hamna kitu kabisa! wewe chuo gani mwalimu asipotoa A anaulizwa? huoni wapo kibiashara zaidi?
Ukipika maandazi makubwa yenye upepo ndani ili kuwalaghai wateja wako unategemea kesho watakuja tena kununua kwako?
Tambua hao wahitimu wataenda kwenye soko la ajira je kama hawauziki unategemea kesho utapata wateja/wanafunzi. Jaribu ku-reason kidogo basi msomi wa serikali!
 
PRIVATE mwisho ni sekondari tena kwa kuibaiba mitihani!Lakini kwa CHUO KIKUU hamna kitu kabisa! wewe chuo gani mwalimu asipotoa A anaulizwa? huoni wapo kibiashara zaidi?

Unapenda siku moja kusoma Havard...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…