LGE2024 Kwa yaliyojitokeza Uchaguzi Serikali za Mitaa, Waziri Mchengerwa ulistahili kushtakiwa kwa uhaini

LGE2024 Kwa yaliyojitokeza Uchaguzi Serikali za Mitaa, Waziri Mchengerwa ulistahili kushtakiwa kwa uhaini

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Ulitahadharishwa kutokea mapema juu ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa na kasoro zake tokea uandikishaji kama waziri mwenye dhamana ukadharau.

Ukashauriwa hiki na kile pia ukapuuza hadi uchaguzi kwa kiwango cha kutisha umeharibika na watu kadhaa wameripotiwa kuuwawa.

Ni upole tuu wa vyama vya upinzani na Watanzania na tabia yao ya "Kumwachia" Mungu kila jambo ndio yameponya taifa hili na kulipuka kwa ghasia. Je, huoni ulitaka kuipeleka nchi yetu pendwa kusikofaa?

Unastahili kabisa kushtakiwa kwa uhaini sasa, lakini kwa vile hayo uliyofanya yalikuwa kwa dhamira ya kukisaidia chama chako haiwezi kutokea leo, ila jinai Haiti kesho na kesho kutwa yaweza kufufuka na hakuna atakaye jua au kujali uhusiano wako na ex-president.

Ila una nafasi moja tuu ya kuzuia hilo kwa sasa, waombe radhi Watanzania kwa kuwaharibia mfumo wao wa kupata viongozi katika ngazi inayowagusa directly na wanaweza nalo hilo "Wakamuachia Mungu".
 
Ulitahadharishwa kutokea mapema juu ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa na kasoro zake tokea uandikishaji kama waziri mwenye dhamana ukadharau.

Ukashauriwa hiki na kile pia ukapuuza hadi uchaguzi kwa kiwango cha kutisha umeharibika na watu kadhaa wameripotiwa kuuwawa.

Ni upole tuu wa vyama vya upinzani na Watanzania na tabia yao ya "Kumwachia" Mungu kila jambo ndio yameponya taifa hili na kulipuka kwa ghasia. Je, huoni ulitaka kuipeleka nchi yetu pendwa kusikofaa?

Unastahili kabisa kushtakiwa kwa uhaini sasa, lakini kwa vile hayo uliyofanya yalikuwa kwa dhamira ya kukisaidia chama chako haiwezi kutokea leo, ila jinai Haiti kesho na kesho kutwa yaweza kufufuka na hakuna atakaye jua au kujali uhusiano wako na ex-president.

Ila una nafasi moja tuu ya kuzuia hilo kwa sasa, waombe radhi Watanzania kwa kuwaharibia mfumo wao wa kupata viongozi katika ngazi inayowagusa directly na wanaweza nalo hilo "Wakamuachia Mungu".
Usisumbuke! March 2025 anakwenda India kutibiwa
 
Ulitahadharishwa kutokea mapema juu ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa na kasoro zake tokea uandikishaji kama waziri mwenye dhamana ukadharau.

Ukashauriwa hiki na kile pia ukapuuza hadi uchaguzi kwa kiwango cha kutisha umeharibika na watu kadhaa wameripotiwa kuuwawa.

Ni upole tuu wa vyama vya upinzani na Watanzania na tabia yao ya "Kumwachia" Mungu kila jambo ndio yameponya taifa hili na kulipuka kwa ghasia. Je, huoni ulitaka kuipeleka nchi yetu pendwa kusikofaa?

Unastahili kabisa kushtakiwa kwa uhaini sasa, lakini kwa vile hayo uliyofanya yalikuwa kwa dhamira ya kukisaidia chama chako haiwezi kutokea leo, ila jinai Haiti kesho na kesho kutwa yaweza kufufuka na hakuna atakaye jua au kujali uhusiano wako na ex-president.

Ila una nafasi moja tuu ya kuzuia hilo kwa sasa, waombe radhi Watanzania kwa kuwaharibia mfumo wao wa kupata viongozi katika ngazi inayowagusa directly na wanaweza nalo hilo "Wakamuachia Mungu".
waziri mwenye dhamana ya TAMISEMI amefanya kanzi kubwa, nzuri na yenye weledi wa kiwango cha juu mno.

Huyu ni miongoni mwa viongozi vijana wazalendo wa kiwango cha juu sana.

uchaguzi ulikua huru, ulikua wa haki na wa wazi sana. Wasimamizi waliandaliwa vizuri sana. Na utaratibu wa kupiga kura ulikua rahisi mno.

Waziri anastahili pongezi,
na ni muhimu sana akapewa maua yake bila chuki binafsi.
Ameandika historia katika taifa hili 🐒
 
Kiongozi Chakaza umeshakunywa chai hao wananchi wa kufanya fujo wako wapi wenyewe wanajua nini wanafanya!
 
Ulitahadharishwa kutokea mapema juu ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa na kasoro zake tokea uandikishaji kama waziri mwenye dhamana ukadharau.

Ukashauriwa hiki na kile pia ukapuuza hadi uchaguzi kwa kiwango cha kutisha umeharibika na watu kadhaa wameripotiwa kuuwawa.

Ni upole tuu wa vyama vya upinzani na Watanzania na tabia yao ya "Kumwachia" Mungu kila jambo ndio yameponya taifa hili na kulipuka kwa ghasia. Je, huoni ulitaka kuipeleka nchi yetu pendwa kusikofaa?

Unastahili kabisa kushtakiwa kwa uhaini sasa, lakini kwa vile hayo uliyofanya yalikuwa kwa dhamira ya kukisaidia chama chako haiwezi kutokea leo, ila jinai Haiti kesho na kesho kutwa yaweza kufufuka na hakuna atakaye jua au kujali uhusiano wako na ex-president.

Ila una nafasi moja tuu ya kuzuia hilo kwa sasa, waombe radhi Watanzania kwa kuwaharibia mfumo wao wa kupata viongozi katika ngazi inayowagusa directly na wanaweza nalo hilo "Wakamuachia Mungu".
Si kwa utawala huu wa Mama Mkwe, baadaye sana labda hata kaburi lake litafukuliwa.
 
Mbona spidi ya ndugu Lucas Hebel Mashambwa kama imepungua🐼
 
Ulitahadharishwa kutokea mapema juu ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa na kasoro zake tokea uandikishaji kama waziri mwenye dhamana ukadharau.

Ukashauriwa hiki na kile pia ukapuuza hadi uchaguzi kwa kiwango cha kutisha umeharibika na watu kadhaa wameripotiwa kuuwawa.

Ni upole tuu wa vyama vya upinzani na Watanzania na tabia yao ya "Kumwachia" Mungu kila jambo ndio yameponya taifa hili na kulipuka kwa ghasia. Je, huoni ulitaka kuipeleka nchi yetu pendwa kusikofaa?

Unastahili kabisa kushtakiwa kwa uhaini sasa, lakini kwa vile hayo uliyofanya yalikuwa kwa dhamira ya kukisaidia chama chako haiwezi kutokea leo, ila jinai Haiti kesho na kesho kutwa yaweza kufufuka na hakuna atakaye jua au kujali uhusiano wako na ex-president.

Ila una nafasi moja tuu ya kuzuia hilo kwa sasa, waombe radhi Watanzania kwa kuwaharibia mfumo wao wa kupata viongozi katika ngazi inayowagusa directly na wanaweza nalo hilo "Wakamuachia Mungu".
Baada ya kupigwa knock out 😆😆
 
Ulitahadharishwa kutokea mapema juu ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa na kasoro zake tokea uandikishaji kama waziri mwenye dhamana ukadharau.

Ukashauriwa hiki na kile pia ukapuuza hadi uchaguzi kwa kiwango cha kutisha umeharibika na watu kadhaa wameripotiwa kuuwawa.

Ni upole tuu wa vyama vya upinzani na Watanzania na tabia yao ya "Kumwachia" Mungu kila jambo ndio yameponya taifa hili na kulipuka kwa ghasia. Je, huoni ulitaka kuipeleka nchi yetu pendwa kusikofaa?

Unastahili kabisa kushtakiwa kwa uhaini sasa, lakini kwa vile hayo uliyofanya yalikuwa kwa dhamira ya kukisaidia chama chako haiwezi kutokea leo, ila jinai Haiti kesho na kesho kutwa yaweza kufufuka na hakuna atakaye jua au kujali uhusiano wako na ex-president.

Ila una nafasi moja tuu ya kuzuia hilo kwa sasa, waombe radhi Watanzania kwa kuwaharibia mfumo wao wa kupata viongozi katika ngazi inayowagusa directly na wanaweza nalo hilo "Wakamuachia Mungu".
huyu sasa ndo alitakiwa kwenda india
 
Kiongozi Chakaza umeshakunywa chai hao wananchi wa kufanya fujo wako wapi wenyewe wanajua nini wanafanya!
Kiongozi kipara kipya yako mambo yanaweza kukubalika lakini sio mauaji, kudhuru mwili na mengine kama hayo katika chaguzi zetu na Mchengelwa kashindwa kudhibiti pamoja na kupewa tahadhari.
 

Attachments

  • IMG-20241127-WA0022.jpg
    IMG-20241127-WA0022.jpg
    87.1 KB · Views: 4
  • IMG-20241127-WA0040.jpg
    IMG-20241127-WA0040.jpg
    112.4 KB · Views: 5
  • IMG-20241128-WA0002.jpg
    IMG-20241128-WA0002.jpg
    61 KB · Views: 3
Kiongozi kipara kipya yako mambo yanaweza kukubalika lakini sio mauaji, kudhuru mwili na mengine kama hayo katika chaguzi zetu na Mchengelwa kashindwa kudhibiti pamoja na kupewa tahadhari.
Haya mchengerwa akishajiuzulu hilo tatizo litakuwa limepatiwa ufumbuzi?hebu tupe wewe njia ya kulikomesha jambo hili lisitokee tena!
 
Back
Top Bottom