Nilisha sema CDM ni kama hamnazo nā nikasema mda ukifika ataumbuka,Mbowe ni mtu wa dili 1,000,000,000%, kama kuna pesa jamaa huwa hafati utu, mtazamo wa chama nā hata wanachama wanataka nini.
Wale wabunge 19 walikuwa nā Baraka zake hilo muelewe makubaliano yalikuwa % flani ya mapato yatokanayo nā ubunge wao yaende kwa chama nā % zingine kwenye akaunti binafsi.
Mabinti nā akina mama wakakubali ila walivokanyaga mjengoni,wakaigomea % ya mfuko wa Mkubwa,ndipo jamaa akawawakia kukiuka mkataba wa mkubwa.
MBOWE HANA UBAVU KWA UVIKO 19,ndo mana anapambana nā Lissu asiwe mwenyekiti maana akiwa mwenyekiti wale 19uvicoʻs hawana chao
Kama MBOWE Anabisha aje akanushe hili nā nitakuja nā jingine.