Jamaa Fulani Mjuaji
Senior Member
- Jul 25, 2020
- 155
- 278
Kwa Mbungi linaloendelea ndani ya CCM sijui kama hakutakua na kumalizana Juu kwa Juu inaonekana huku ambako ni makazi mapya ya Bwana Msigwa kunawaka moto kuliko Kule alikotoka bwana msigwa.
Hali ya kugawanyika ni kubwa mno na kwa kuangalia Upepo wao hawa jamaa wa kijani wanaweza hata kuanza kumalizana wao kwa wao kitu ambacho ni kibaya zaidi.
Huu ni Mtazamo wangu wa Mambo
Hali ya kugawanyika ni kubwa mno na kwa kuangalia Upepo wao hawa jamaa wa kijani wanaweza hata kuanza kumalizana wao kwa wao kitu ambacho ni kibaya zaidi.
Huu ni Mtazamo wangu wa Mambo