Kwa yanayoendelea,ni suala la muda tu kabla Marekani hawajachukua hatua za kuwawekea vikwazo viongozi fulani wa nchi hii

Kwa yanayoendelea,ni suala la muda tu kabla Marekani hawajachukua hatua za kuwawekea vikwazo viongozi fulani wa nchi hii

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Mpaka sasa Marekani wameshaonya zaidi ya mara moja ila wahusika wametia pamba masikioni na kuendeleza matendo yao ya unyanyasaji na ukiukaji wa haki za binadamu hasa kwa wanasiasa wa upinzani.

Kwa sababu hiyo,msishangae wakati wowote kuanzia sasa serikali ya Marekani ikatangaza hatua kadhaa dhidi ya viongozi wa nchi hii wanaotuhumiwa kuhusika na ukandamizaji huu unaoendelea.

Hatua hizo zinaweza kuwa ni pamoja na kuweka zuio la viongozi hao kwenda Marekani,kusitisha misaada ya fedha,kuzui mali za viongozi hao zilizoko Marekani(kama wapo wenye mali hizo),n.k'.

Kwa msisitizo tu,hili la kuwekea vikwazo linakwenda kutokea mapema tu kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu iwapo hali hii itaendelea bila kukoma.

Hata hivyo,ili chama fulani kianguke,ni lazima ukandamizaji na unyanyasaji huu ushike kasi na ndipo hatua kama hizo zinaweza chukuliwa na mataifa makubwa na pia kuufanya umma ukichukie chama hicho na viongozi wake.

Vile vile inawezekana Mungu karuhusu haya yatokee(Mungu ana makusudi yake) ili anguko la hawa watu litimie wakati wowote kuanzia sasa.

Anguko la hawa jamaa ni process(mchakato),process ambayo imeshaanza huku wao wenyewe kwa matendo yao, bila kujijua, waki-provide catalyst ku-speed up anguko lao.

Time will tell.
 
Mpaka sasa Marekani wameshaonya zaidi ya mara moja ila wahusika wametia pamba masikioni na kuendeleza matendo yao ya unyanyasaji na ukiukaji wa haki za binadamu hasa kwa wanasiasa wa upinzani.

Kwa sababu hiyo,msishangae wakati wowote kuanzia sasa serikali ya Marekani ikatangaza hatua kadhaa dhidi ya viongozi wa nchi hii wanaotuhumiwa kuhusika na ukandamizaji huu unaoendelea.

Hatua hizo zinaweza kuwa ni pamoja na kuweka zuio la viongozi hao kwenda Marekani,kusitisha misaada ya fedha,kuzui mali za viongozi hao zilizoko Marekani(kama wapo wenye mali hizo),n.k'.

Kwa msisitizo tu,hili la kuwekea vikwazo linakwenda kutokea mapema tu kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu iwapo hali hii itaendelea bila kukoma.

Hata hivyo,ili chama fulani kianguke,ni lazima ukandamizaji na unyanyasaji huu ushike kasi na ndipo hatua kama hizo zinaweza chukuliwa na mataifa makubwa na pia kuufanya umma ukichukie chama hicho na viongozi wake.

Vile vile inawezekana Mungu karuhusu haya yatokee(Mungu ana makusudi yake) ili anguko la hawa watu litimie wakati wowote kuanzia sasa.

Anguko la hawa jamaa ni process(mchakato),process ambayo imeshaanza huku wao wenyewe kwa matendo yao, bila kujijua, waki-provide catalyst ku-speed up anguko lao.

Time will tell.

Unawapenda sana wamarekani, haipiti siku hujawazungumzia, si uhamie huko
 
Wacha wapambane na korona kwanza.
Usiwaamini sana mataifa makubwa.Na hili ni kosa naliona vyama vya upinzani vinaanza kuelemea huko.Hawa ni watu wa maslahi na angalia nchi kama Saudi Arabia,mila na desturi zao na msimamo wa marekani kwao.Angalia Jamal Kashogi kakatwa vipande na bado Mwana mfalme anadunda.
Juzi juzi kuna clip ilitembea ambapo bulldozer au Cartepillar la Israel lilikuwa likimburuza Mpalestina alieuawa.
Marekani hawakuchukua hatua.
Ni kosa kuwategemea hawa.Awamu ya tano inaamini katika utumiaji nguvu na vyama vya upinzani vinatakiwa kuangalia njia bora ya kuwasilisha mambo yao kwani wakitumia nguvu wataumia wao zaidi.
 
Mpaka sasa Marekani wameshaonya zaidi ya mara moja ila wahusika wametia pamba masikioni na kuendeleza matendo yao ya unyanyasaji na ukiukaji wa haki za binadamu hasa kwa wanasiasa wa upinzani.

Kwa sababu hiyo,msishangae wakati wowote kuanzia sasa serikali ya Marekani ikatangaza hatua kadhaa dhidi ya viongozi wa nchi hii wanaotuhumiwa kuhusika na ukandamizaji huu unaoendelea.

Hatua hizo zinaweza kuwa ni pamoja na kuweka zuio la viongozi hao kwenda Marekani,kusitisha misaada ya fedha,kuzui mali za viongozi hao zilizoko Marekani(kama wapo wenye mali hizo),n.k'.

Kwa msisitizo tu,hili la kuwekea vikwazo linakwenda kutokea mapema tu kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu iwapo hali hii itaendelea bila kukoma.

Hata hivyo,ili chama fulani kianguke,ni lazima ukandamizaji na unyanyasaji huu ushike kasi na ndipo hatua kama hizo zinaweza chukuliwa na mataifa makubwa na pia kuufanya umma ukichukie chama hicho na viongozi wake.

Vile vile inawezekana Mungu karuhusu haya yatokee(Mungu ana makusudi yake) ili anguko la hawa watu litimie wakati wowote kuanzia sasa.

Anguko la hawa jamaa ni process(mchakato),process ambayo imeshaanza huku wao wenyewe kwa matendo yao, bila kujijua, waki-provide catalyst ku-speed up anguko lao.

Time will tell.
Karne ya 21 unasubiri marekani waje wasaidie Sacco's ya DJ fulani kwa vikwazo?

Huna akili kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karne ya 21 unasubiri marekani waje wasaidie Sacco's ya DJ fulani kwa vikwazo?

Huna akili kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe ni taahira kabisa
1572191509192.jpeg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mpaka sasa Marekani wameshaonya zaidi ya mara moja ila wahusika wametia pamba masikioni na kuendeleza matendo yao ya unyanyasaji na ukiukaji wa haki za binadamu hasa kwa wanasiasa wa upinzani.

Kwa sababu hiyo,msishangae wakati wowote kuanzia sasa serikali ya Marekani ikatangaza hatua kadhaa dhidi ya viongozi wa nchi hii wanaotuhumiwa kuhusika na ukandamizaji huu unaoendelea.

Hatua hizo zinaweza kuwa ni pamoja na kuweka zuio la viongozi hao kwenda Marekani,kusitisha misaada ya fedha,kuzui mali za viongozi hao zilizoko Marekani(kama wapo wenye mali hizo),n.k'.

Kwa msisitizo tu,hili la kuwekea vikwazo linakwenda kutokea mapema tu kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu iwapo hali hii itaendelea bila kukoma.

Hata hivyo,ili chama fulani kianguke,ni lazima ukandamizaji na unyanyasaji huu ushike kasi na ndipo hatua kama hizo zinaweza chukuliwa na mataifa makubwa na pia kuufanya umma ukichukie chama hicho na viongozi wake.

Vile vile inawezekana Mungu karuhusu haya yatokee(Mungu ana makusudi yake) ili anguko la hawa watu litimie wakati wowote kuanzia sasa.

Anguko la hawa jamaa ni process(mchakato),process ambayo imeshaanza huku wao wenyewe kwa matendo yao, bila kujijua, waki-provide catalyst ku-speed up anguko lao.

Time will tell.
Dogo unatutia aibu wanaume wenzako!! Muda wote wewe unawaza juu ya Wanaume wa Marekani!!

Hebu badilika bhana mtoto wa kiume wewe!!!
 
Wacha wapambane na korona kwanza.

Nani kakwambia wanapambana na Corona kwanza?
Magufuli na CCM yake Wana kazi 1 tu: KUPAMBANA NA CHADEMA......!
The way I see it: CORONA imeruhusiwa kuingia maksudically na sasa Jiwe ameanza KUPIGA kelele Sana...! Kwa akili za huyu Dikteta uchwara huenda akaitumia Corona kuzuia mikutano/mikusanyiko ya Wapinzani mpaka Oktoba na hatimaye kupelekea kuahirishwa UCHAGUZI Mkuu kwa kisingizio Cha Corona.....!!
Time'll tell....!!!
 
Mpaka sasa Marekani wameshaonya zaidi ya mara moja ila wahusika wametia pamba masikioni na kuendeleza matendo yao ya unyanyasaji na ukiukaji wa haki za binadamu hasa kwa wanasiasa wa upinzani.

Kwa sababu hiyo,msishangae wakati wowote kuanzia sasa serikali ya Marekani ikatangaza hatua kadhaa dhidi ya viongozi wa nchi hii wanaotuhumiwa kuhusika na ukandamizaji huu unaoendelea.

Hatua hizo zinaweza kuwa ni pamoja na kuweka zuio la viongozi hao kwenda Marekani,kusitisha misaada ya fedha,kuzui mali za viongozi hao zilizoko Marekani(kama wapo wenye mali hizo),n.k'.

Kwa msisitizo tu,hili la kuwekea vikwazo linakwenda kutokea mapema tu kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu iwapo hali hii itaendelea bila kukoma.

Hata hivyo,ili chama fulani kianguke,ni lazima ukandamizaji na unyanyasaji huu ushike kasi na ndipo hatua kama hizo zinaweza chukuliwa na mataifa makubwa na pia kuufanya umma ukichukie chama hicho na viongozi wake.

Vile vile inawezekana Mungu karuhusu haya yatokee(Mungu ana makusudi yake) ili anguko la hawa watu litimie wakati wowote kuanzia sasa.

Anguko la hawa jamaa ni process(mchakato),process ambayo imeshaanza huku wao wenyewe kwa matendo yao, bila kujijua, waki-provide catalyst ku-speed up anguko lao.

Time will tell.
utasubili sana
 
utasubili sana

Wakti wa Utawala wa Dikteta Mugabe wa Zimbabwe kulikuwa na misukule Kama weye walikuwa wakisema hivihivi....Leo wanalia!
Trump is just watching from Washington DC.....and he gonna act sooner than later.,.!
 
Wakti wa Utawala wa Dikteta Mugabe wa Zimbabwe kulikuwa na misukule Kama weye walikuwa wakisema hivihivi....Leo wanalia!
Trump is just watching from Washington DC.....and he gonna act sooner than later.,.!
Unafikiri kwanini Zimbabwe iliwekewa vikwazo?
Unahisi iliwekewa vikwazo kwasababu ya maslahi ya wazimbambwe?
Vikwazo viliwekwa kwa kuingilia maslahi ya wazungu kuwanyang'anya Mashamba n.k
Sasa vikwazo vyamagufuli havitakua kwasababu nyingine ziaidi ya kung'ang'ania kutowaachia wanyonye watakavyo.
Kama ingekua sababu ya udikteta na kuvunja Haki nchi nyingi sana zingeshawekewa hivyo vikwazo.
Itazame Saudia, itazame Israel, tazama majirani zetu Rwanda n.k
Magufuli wafurahishe hao mabeberu waachie wanyonye Mali watakavyo ili wapinzani wafurahi usiwekewe na tusiwekewe vikwazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unless ni pandikizi lao,lakini ni upumbavu wa kiwango cha juu sana kwa kijana Mwafrika mtanzania kuamini eti wazungu ndio suluhisho la matatizo yetu..kila kitu marekani...marekani. Jamani,hamjifunzi kwa nchi zingine?

Mzungu hakawahi kuwa na nia nzuri na Africa hata siku moja.
Mpaka sasa Marekani wameshaonya zaidi ya mara moja ila wahusika wametia pamba masikioni na kuendeleza matendo yao ya unyanyasaji na ukiukaji wa haki za binadamu hasa kwa wanasiasa wa upinzani.

Kwa sababu hiyo,msishangae wakati wowote kuanzia sasa serikali ya Marekani ikatangaza hatua kadhaa dhidi ya viongozi wa nchi hii wanaotuhumiwa kuhusika na ukandamizaji huu unaoendelea.

Hatua hizo zinaweza kuwa ni pamoja na kuweka zuio la viongozi hao kwenda Marekani,kusitisha misaada ya fedha,kuzui mali za viongozi hao zilizoko Marekani(kama wapo wenye mali hizo),n.k'.

Kwa msisitizo tu,hili la kuwekea vikwazo linakwenda kutokea mapema tu kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu iwapo hali hii itaendelea bila kukoma.

Hata hivyo,ili chama fulani kianguke,ni lazima ukandamizaji na unyanyasaji huu ushike kasi na ndipo hatua kama hizo zinaweza chukuliwa na mataifa makubwa na pia kuufanya umma ukichukie chama hicho na viongozi wake.

Vile vile inawezekana Mungu karuhusu haya yatokee(Mungu ana makusudi yake) ili anguko la hawa watu litimie wakati wowote kuanzia sasa.

Anguko la hawa jamaa ni process(mchakato),process ambayo imeshaanza huku wao wenyewe kwa matendo yao, bila kujijua, waki-provide catalyst ku-speed up anguko lao.

Time will tell.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamkomoe JPM kumzuia asiende USA..
Bahati mbaya hana hata mpango nako..
Mpaka sasa Marekani wameshaonya zaidi ya mara moja ila wahusika wametia pamba masikioni na kuendeleza matendo yao ya unyanyasaji na ukiukaji wa haki za binadamu hasa kwa wanasiasa wa upinzani.

Kwa sababu hiyo,msishangae wakati wowote kuanzia sasa serikali ya Marekani ikatangaza hatua kadhaa dhidi ya viongozi wa nchi hii wanaotuhumiwa kuhusika na ukandamizaji huu unaoendelea.

Hatua hizo zinaweza kuwa ni pamoja na kuweka zuio la viongozi hao kwenda Marekani,kusitisha misaada ya fedha,kuzui mali za viongozi hao zilizoko Marekani(kama wapo wenye mali hizo),n.k'.

Kwa msisitizo tu,hili la kuwekea vikwazo linakwenda kutokea mapema tu kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu iwapo hali hii itaendelea bila kukoma.

Hata hivyo,ili chama fulani kianguke,ni lazima ukandamizaji na unyanyasaji huu ushike kasi na ndipo hatua kama hizo zinaweza chukuliwa na mataifa makubwa na pia kuufanya umma ukichukie chama hicho na viongozi wake.

Vile vile inawezekana Mungu karuhusu haya yatokee(Mungu ana makusudi yake) ili anguko la hawa watu litimie wakati wowote kuanzia sasa.

Anguko la hawa jamaa ni process(mchakato),process ambayo imeshaanza huku wao wenyewe kwa matendo yao, bila kujijua, waki-provide catalyst ku-speed up anguko lao.

Time will tell.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom