Mi si shabiki wa timu yoyote ile ila kwenye ukweli basi fitna tuweke pembeni, nimeicheki Yanga jana, pia nimecheki game zao za Pre-season, Pia nimecheki kikosi chao kila idara..
Naombeni niwe mkweli kwa kikosi hicho ubingwa mwaka huu wausahau - wajitahiji kujipanga zaidi misimu ijayo huu hapana, nakataa.
ni hayo tu ndugu zangu !!
Naombeni niwe mkweli kwa kikosi hicho ubingwa mwaka huu wausahau - wajitahiji kujipanga zaidi misimu ijayo huu hapana, nakataa.
ni hayo tu ndugu zangu !!