Kwa Yanga hii ya jana nasema ubingwa wasahau msimu huu

FUSO

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2010
Posts
34,181
Reaction score
41,563
Mi si shabiki wa timu yoyote ile ila kwenye ukweli basi fitna tuweke pembeni, nimeicheki Yanga jana, pia nimecheki game zao za Pre-season, Pia nimecheki kikosi chao kila idara..

Naombeni niwe mkweli kwa kikosi hicho ubingwa mwaka huu wausahau - wajitahiji kujipanga zaidi misimu ijayo huu hapana, nakataa.

ni hayo tu ndugu zangu !!
 
Kanywe maji ...ama kimpumu ...iache yanga ..ahujui mpira na hujui ilisemalo njoo na takwimu hapa tunaongelea mambo yenye tija na kutusongesha mbele….
1.Timu iko vizuri mnoooo
2.Angalia wachezaji walio National team
3.Uongozi bora wenye mwelekeo safi na mambo mapya kila uchao
4.Tazama kamati za ukweli na vitu wanavyofanya
5.Inftar SERENA WAKATI WA MFUNGO
6.KUBWA KULIKO MH WAZIRI MKUU MGENI RASMI DIAMOND JUBILEE
7.Jana KILELE WIKI YA MWANANCHI NA WIKI NZIMA TANZANIA NZIMA BARA NA VISIWANI HUDUMA KWA JAMII
a] kukarabati hospitali
b]huduma kwa wahitaji
c]usafi kote mahospitali,beach nk
d]kutoa damu nk
MWISHO GAME NA KARIOBANGI SHARKS DARW NA NI FRIENDLY GAME TAZAMA ZANZIBAR JUMATANO ZBC 2 UONE MAMBO NA JUMAMOSI USIKU TUKUTANE TAIFA...….NA TOWNSHIP ROLLERS …..
 
Wewe ni shabiki wa simba damu. Mziki bado hata bado haujaanza tayari mmeamza kuharisha?
 
Ungeandika madhaifu ya Yanga ya msimu huu ni yapi. Sasa umeandika kimahaba badala kutoa sababu za kiufundi (kimbinu) zitakazosababisha Yanga akose ubingwa
 
1. Inakuwa ngumu kutoa mtazamo kwa mechi moja tena friend match tu.
2. Yanga wanahitaji muunganiko tu kwa kuwa 80% ya timu yao ni wachezaji wapya klabuni hawajakaa pamoja muda mrefu na kocha mkuu... ila kwa mmoja mmoja wako vzr.

Ishu ya ubingwa tuache kwanza ligi ianze ndio tutaona zaidi... Kwa sasa YANGA wajipange kwa game ya TOWNSHIP kwanza.
 
Nani ndugu zako kwa mfano
 
hao mabwana nashindwaga kuwaelewa.. timu yao ikifanya vizuri wanajiita Dar young Africa. timu yao ikiboronga wanajiita timu ya wananchi. timu yao ikikosa ubingwa wanajiita mabingwa wa kihistoria. kwa visingizio hao mabwana hawawezekani
Mkuu unataarifa Gabachori kaanza kutembeza bakuli?
 
Yondani,Fei toto,BUI, Boxer na Bigirimana na ukichanganya na baadhi ya wachezaji wa Jana ndio unapata first eleven ya Yanga..Township Rollers bataokota kunyavu nyingi
 
Humu manara ana I'd nyingi mnoo
Kachangie ghala lijae
 
Huu ndio uanamichezo sio mihemuko. Big up Mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…