eti bcom ya udom ni nzuri kweli,ukiilinganisha na ile ya udsm?walimu wa kutosha wapo kweli,na mtu ukigraduate kuna uwezekano wa kupata ajira?ni hayo tu
eti bcom ya udom ni nzuri kweli,ukiilinganisha na ile ya udsm?walimu wa kutosha wapo kweli,na mtu ukigraduate kuna uwezekano wa kupata ajira?ni hayo tu
walimu wengi pale udom wanatoka mzumbe,and kaka ucwaze kuajiriwa tu waza kujiajiri na ujue kwamba hii ni information age na slogan yake kusoma kujiajiri na age iliyopita ilikuwa ni industrial age(kusoma kuajiriwa)