Kwa yeyote anayefahamu wapi naweza kusoma french,chinese,latin and indian kwa dsm!

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
Habari wakubwa,
naomba kwa yeyote anayefaham wapi masomo ya kifaransa, kichina, kilatin na kihindi kwa hapa dar es salaam, wapi ntapata pa kuyasomea?
Tafadhali tuwasiliane kwa 0762972021 au 0653811003 mimi niko mabibo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…