wewe mleta uzi huu elewa kwamba huwezi toa figo yako ili uokoe maisha ya wengine.wewe ukibaki na figo moja unafikiri mwili wako utakuwa kamili kama wali.
sema labda unauza figo yako kwa matatizo ya fedha tu
ushauri wangu kwako-
1) mtafute ruge au chenge au sethi wana mijielaa ya escrow wapige mzinga watakupa mapene