Kwa yeyote mwenye matatizo ya figo nipo tayari kumpa figo langu moja

Joined
Dec 1, 2014
Posts
10
Reaction score
0
Naitwa Afredy, ni mtanzania nampenda Mungu. Natambua wapo watu wenye matatizo ya figo na wapo katika hali mbaya ya kupoteza maisha yao.

Nipo tayari kutoa figo langu moja ili kuokoa maisha kwa yeyote aliye katika hali mbaya ya kupoteza uhai namba yangu 0716284572.
 
wewe mleta uzi huu elewa kwamba huwezi toa figo yako ili uokoe maisha ya wengine.wewe ukibaki na figo moja unafikiri mwili wako utakuwa kamili kama wali.
sema labda unauza figo yako kwa matatizo ya fedha tu
ushauri wangu kwako-
1) mtafute ruge au chenge au sethi wana mijielaa ya escrow wapige mzinga watakupa mapene
 

Acha kuharibu biashara za watu mkuu Hahahaaaa bongo noma sana!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…