Habari zenu wa ndugu?
Kwa yeyote mwenye kujua biashara ya kuku wa kienyeji kwa yule anaye nunua na kwenda kuuza sehemu nyingine.
Mwaswali yangu ni je,
1. Kuku wa kienyeji wanapatikana wapi kwa wingi katika nchi yetu (tz)?
2. Manunuzi yao yakoje(bei yao ya jumla ni shl ngapi na wanakuwa wa ngapi au mmoja ni shl ngapi?
3. Ghalama za usafiri kutoka huko walipo mpaka dar ni kiasi gani kwa makadilio ya kawaida?
4. Mwisho naomba kujua mtaji wa chini kabisa kuanzia hiyo biashara ni shl ngapi? (nikimaanisha mm mwenyewe nitoke dar niende huko na kisha nirudi na huo mzigo)
naomba kujua wadau nasubiri majibu yenu asanteni!
Kauri mbiu ya mwaka huu, 'hapa ni kazi tu' nataka nianze hiyo kazi mara moja!
Kwa yeyote mwenye kujua biashara ya kuku wa kienyeji kwa yule anaye nunua na kwenda kuuza sehemu nyingine.
Mwaswali yangu ni je,
1. Kuku wa kienyeji wanapatikana wapi kwa wingi katika nchi yetu (tz)?
2. Manunuzi yao yakoje(bei yao ya jumla ni shl ngapi na wanakuwa wa ngapi au mmoja ni shl ngapi?
3. Ghalama za usafiri kutoka huko walipo mpaka dar ni kiasi gani kwa makadilio ya kawaida?
4. Mwisho naomba kujua mtaji wa chini kabisa kuanzia hiyo biashara ni shl ngapi? (nikimaanisha mm mwenyewe nitoke dar niende huko na kisha nirudi na huo mzigo)
naomba kujua wadau nasubiri majibu yenu asanteni!
Kauri mbiu ya mwaka huu, 'hapa ni kazi tu' nataka nianze hiyo kazi mara moja!