Kwa Zahera bado ni kocha wa Yanga

Kwa Zahera bado ni kocha wa Yanga

MAGO

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
2,278
Reaction score
3,023
Kati ya makocha waliowai kuifundisha Yanga huyu Jamaa nimetokea kumuona hafai kabisa kuwa kocha was team kubwa kama Yanga.

Ni kocha ambaye team inafanya vibaya na imekosa mvuto kabisa kwa mashabiki ila kila siku hakosi sababu. Inakuwaje uongozi was Yanga unavumilia mpaka muda hii bila kumfungashia virago!??

HEADING; Kwa nini Zahera bado ni kocha wa Yanga!
 
Yeye anajitolea kufundisha hata kwa mkopo,wakati mwingine huwa anaongezea nauli ili wachezaji wa Yanga wapande ndege na wao.Ingekuwa wewe ni kiongozi usingemnyenyekea kocha wa aina hiyo
 
Hajawahi kufundisha timu kubwa kama Yanga ana mawenge
 
Kati ya makocha waliowai kuifundisha Yanga huyu Jamaa nimetokea kumuona hafai kabisa kuwa kocha was team kubwa kama Yanga.

Ni kocha ambaye team inafanya vibaya na imekosa mvuto kabisa kwa mashabiki ila kila siku hakosi sababu. Inakuwaje uongozi was Yanga unavumilia mpaka muda hii bila kumfungashia virago!??

HEADING; Kwa nini Zahera bado ni kocha wa Yanga!

Mimi nilimshtukia mwanzoni kabisa ya kwamba jamaa ni mjanja mjanja tu, alipomkataa kwenye timu Benno Kakolanya, kwa sababu tu ya kudai haki yake.

Kumbe lengo lilikuwa ni kutaka mkongomani mwenzake Claus Kindoki awe golikipa namba moja wa timu! Kilichokuja kutokea baadae, hakuna asiyekijua. Mbona akina Yondani na Juma Abdul waligomea pia baadae, lakini walirudishwa kundini?

Kamuuza Makambo kienyeji enyeji tu na kutuletea Molinga ambaye kimsingi anahitaji muda mwingi mpaka aje kuwa fit! huku akikosa vitu vingi uwanjani, mfano kimo kidogo, kukosa stamina ya miguu, nk.
 
Back
Top Bottom