Kwaheri jukwaa la elimu

pitbull

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2011
Posts
596
Reaction score
184
Baada ya ishu za tcu na helsb kupita sasa ni muda wangu wa kuhamia majukwaa mengine kwaherini wadau
 
hapa utarudi tu ..kwan heslib wamekupa pesa ya miaka yote utakayosoma shule? Huju anytime wanaweza kukupa pesa nusu hahah boy ndio umeingia tu kwenye matatizo usije ukafikiri kuwa umeingia kwenye raha
 
We hama kaka, majukwaa mengine kama kawaida na hapa siwezi kuacha kuingia
 
inasikitisha sana kuona mtu amesaidiwa then anakimbia, je wale watakao kuja na shida watasaidiwa na nani kama tukikimbia sote??
anyway ni maamuzu yako, wewe nenda ukipata shida rudi tu utasaidiwa.
 
Madhal bado s2dent hapa n home so u wl b back! Ucsahau mwenda tenz na omo hurudia ngaman
 
Baada ya ishu za tcu na helsb kupita sasa ni muda wangu wa kuhamia majukwaa mengine kwaherini wadau

Shame upon you! yaani wewe kwako elimu ni kupata mkopo basi umemaliza? ama kweli hujaelimika wewe
 

Shame upon you! yaani wewe kwako elimu ni kupata mkopo basi umemaliza? ama kweli hujaelimika wewe
Mkirua hawa wanafunzi wangu wananisikitisha sana. Nataman kujua alisoma wapi manake waweza kukuta ni mwanafunzi wangu kabisa si kututia aibu waalim wake jamani. Baba V na snowhite oneni tunavyodhalilika kwa kushindwa kuwapa maarifa hawa vijana.
 
Last edited by a moderator:
Mkirua hawa wanafunzi wangu wananisikitisha sana. Nataman kujua alisoma wapi manake waweza kukuta ni mwanafunzi wangu kabisa si kututia aibu waalim wake jamani. Baba V na snowhite oneni tunavyodhalilika kwa kushindwa kuwapa maarifa hawa vijana.
My dear wala msijilaumu kwani ivi kila kitu lazima ufundishwe na walimu wako?? Kama jibu ndio je ni yote tunayakumbuka na kuyatekeleza?? Mengine haya ni matumizi bora tu ya ubongo kuweza kujua kuwa elimu(jukwaa la elimu) ni pana na lina manufaa zaidi ya jinsi wanavyotaka kulifanya noticeboard ya TCU na HLSB.
 

ninachosikitikia mimi ni kuona kwamba wao walilenga kufaulu tu darasani kwenye mitihan ila si kuongeza uwezo wa akili zao kupambanua mambo. manake mwl yyte yule hawi kamili asipomfunza mwanafunzi kuweza kutafakari mambo kwa upana wake. na ndio maana mida mingine tunawapa uhuru wa kufikiri wenyewe pasi kuwasaidia.
 
nimekunukuu na lazima urudi...na lazima nikukaribishe tena...yani hapa kuama labda jf ifungwe..au niwe sina bandle!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…