Kwaheri mwezi January karibu February.

Kwaheri mwezi January karibu February.

Clark boots

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
6,770
Reaction score
6,202
Habari za mda huu JF Member,
Nipo hapa kwa ajili ya kuuaga tu mwezi January, mwezi ambao tuliukaribisha mwaka 2019..
Mazuri,mabaya,shida,raha ila kikubwa binafsi nashukuru January umepita salama na maisha bado yanaendelea.


Kesho tunaukaribisha mwezi February au "Mwezi wa mapenzi mubashara" watoto wa mjini wanauitaga.
So also tunaomba uwe ni mwezi wa Amani,faraja na mafanikio
Allah bless us,


UZI TAYARI.
 
Ila January hii imeisha fasta! Ingekuwa ni mwaka uliopita leo ndio kwanza tungekuwa tunaitafuta Tarehe 15
 
Daaaah, mwezi dume umepita! haujawahi kuwa mzuri huu mwezi kwa upande wangu
 
Back
Top Bottom