Kwaheri Pastor Zephaniah Ryoba

Kwaheri Pastor Zephaniah Ryoba

kaka_mkubwa

Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
40
Reaction score
75
Habari wanajukwaa
Kwa wale ambao wamewahi kusoma SUA, Mzumbe na vyuo jirani vya Morogoro sana sana miaka ya kuanzia 2000 na kama umekuwa mfuatiliaji wa mambo ya kiroho basi kwa namna moja ama nyingine unaweza kuwa umewahi kukutana au kumsikia huyu Mchungaji. Alikuwa ana kanisa pale keepleft ya kwenda SUA.
Ni Mchungaji aliyekuwa na hekima ya ajabu na mshauri mzuri sana. Ni mmoja ya wachungaji wachache ambao hawajawahi kuwa na scandal yoyote tangu nimeanza kumsikia. Lakini alikuwa mnyenyekevu sana.
Pole kwa familia yake
Kwaheri Pastor Zephania Ryoba.
1639594510946.png
 
Kazi ameimaliza.
Heri wafu wafwao katika Bwana, maana lipo pumziko kwao.
Tungetamani viongozi wote wa kiroho wakifariki basi tuwambuke kwa matendo yao mema, hivyo wajikite kufanya mema zaid wakiwa hai.

Poleni wote mlioguswa na msiba huu.
 
Habari wanajukwaa
Kwa wale ambao wamewahi kusoma SUA, Mzumbe na vyuo jirani vya Morogoro sana sana miaka ya kuanzia 2000 na kama umekuwa mfuatiliaji wa mambo ya kiroho basi kwa namna moja ama nyingine unaweza kuwa umewahi kukutana au kumsikia huyu Mchungaji. Alikuwa ana kanisa pale keepleft ya kwenda SUA.
Ni Mchungaji aliyekuwa na hekima ya ajabu na mshauri mzuri sana. Ni mmoja ya wachungaji wachache ambao hawajawahi kuwa na scandal yoyote tangu nimeanza kumsikia. Lakini alikuwa mnyenyekevu sana.
Pole kwa familia yake
Kwaheri Pastor Zephania Ryoba.
View attachment 2045442

Apumzike kwa amani Pastor Ryoba.

Tukumbuke kuendelea kuchukua tahadhari.
 
Habari wanajukwaa
Kwa wale ambao wamewahi kusoma SUA, Mzumbe na vyuo jirani vya Morogoro sana sana miaka ya kuanzia 2000 na kama umekuwa mfuatiliaji wa mambo ya kiroho basi kwa namna moja ama nyingine unaweza kuwa umewahi kukutana au kumsikia huyu Mchungaji. Alikuwa ana kanisa pale keepleft ya kwenda SUA.
Ni Mchungaji aliyekuwa na hekima ya ajabu na mshauri mzuri sana. Ni mmoja ya wachungaji wachache ambao hawajawahi kuwa na scandal yoyote tangu nimeanza kumsikia. Lakini alikuwa mnyenyekevu sana.
Pole kwa familia yake
Kwaheri Pastor Zephania Ryoba.
View attachment 2045442
Mchungaji Ryoba..ni mmoja kati ya wachungaji wachache wakweli na wenye hofu ya mungu..ndani ya kqnisa la calvary..CAG...kazuia sana mafundisho ya mitume na manabiii feki..ikiwemo baba yao muanzilishi wa CAG. Sijui nani anaujasiri na ucha mungu asimame kama Ryoba...hakika sitakusahau mafundisho yako baba..nenda salama..nenda kavae taji ya utukufu baada ya kazi njema hapa duniani...pole sana kwa wafiwa hasa mama Ryoba..!
 
Mchungaji Ryoba..ni mmoja kati ya wachungaji wachache wakweli na wenye hofu ya mungu..ndani ya kqnisa la calvary..CAG...kazuia sana mafundisho ya mitume na manabiii feki..ikiwemo baba yao muanzilishi wa CAG. Sijui nani anaujasiri na ucha mungu asimame kama Ryoba...hakika sitakusahau mafundisho yako baba..nenda salama..nenda kavae taji ya utukufu baada ya kazi njema hapa duniani...pole sana kwa wafiwa hasa mama Ryoba..!
Ni kweli kabisa unachosema, Pastor Ryoba alikuwa wa tofauti sana, upendo wa kweli uisobagua lakini alikuwa mkweli sana kwenye mahubiri yake.
 
Back
Top Bottom