Natafuta matibabu
JF-Expert Member
- Aug 1, 2020
- 262
- 301
WanaCCM wezangu tujipongeze kwa matokeo mazuri tunayoendelea kuyapata katika viti vya Ubunge na Udiwani.
Kikwazo kikubwa kilichotuumiza kwa muda mrefu sasa tumekimaliza rasmi, kilichopo mbele yetu ni kikwazo kikubwa zaidi ya kilichopita.
Upinzani wa kweli upo ndani yetu (CCM). Tunajuana ipasavyo, tunajua mbinu zote nzuri na ovu.
Mapambano sasa ndio yameanza rasmi.
Kikwazo kikubwa kilichotuumiza kwa muda mrefu sasa tumekimaliza rasmi, kilichopo mbele yetu ni kikwazo kikubwa zaidi ya kilichopita.
Upinzani wa kweli upo ndani yetu (CCM). Tunajuana ipasavyo, tunajua mbinu zote nzuri na ovu.
Mapambano sasa ndio yameanza rasmi.