nanjilinji
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 1,203
- 563
Kwa masikitiko makubwa naomba kuwaaga rasmi.
Naondoka hapa kwetu Njinjo kesho naelekea wilaya ya Liwale ambapo nimepata kibarua kwa mzee mmoja. Nijuavyo huko Mpigamiti hakuna Internet, hivyo haitakuwa rahisi kusoma makala nzuri za JF.
Hii imetokana na mvua zinazoendelea kunyesha hapa Kilwa na mfano ni hii (bofya). Mvua zimeathiri mashamba yetu na hivyo uwezekano wa kuendelea kuishi nyumbani wakati PESA ni shida inanilazimu nielekee Mpigamiti nikatafute kibarua. Naomba msamaha kwa niliowakwaza ingawa kwa upande wangu hakuna yeyote aliyenikwaza. Niliwapenda sana ila mafuriko yananifanya kwa moyo mzito nisepe. Kwa atakayetembelea huko tafadhali sana anitafute, Simu yangu ni 0754-235470.
Naondoka hapa kwetu Njinjo kesho naelekea wilaya ya Liwale ambapo nimepata kibarua kwa mzee mmoja. Nijuavyo huko Mpigamiti hakuna Internet, hivyo haitakuwa rahisi kusoma makala nzuri za JF.
Hii imetokana na mvua zinazoendelea kunyesha hapa Kilwa na mfano ni hii (bofya). Mvua zimeathiri mashamba yetu na hivyo uwezekano wa kuendelea kuishi nyumbani wakati PESA ni shida inanilazimu nielekee Mpigamiti nikatafute kibarua. Naomba msamaha kwa niliowakwaza ingawa kwa upande wangu hakuna yeyote aliyenikwaza. Niliwapenda sana ila mafuriko yananifanya kwa moyo mzito nisepe. Kwa atakayetembelea huko tafadhali sana anitafute, Simu yangu ni 0754-235470.