GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Halafu Wenzetu wakiwa Kutwa wanatucheka JF kuwa hatuna Akili tunakuja hapa Kuwalaumu wakati wako sahihi 100%.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comrade, bado hujasema.Halafu Wenzetu wakiwa Kutwa wanatucheka JF kuwa hatuna Akili tunakuja hapa Kuwalaumu wakati wako sahihi 100%.
Wazee wa kosi la bil 7.Halafu Wenzetu wakiwa Kutwa wanatucheka JF kuwa hatuna Akili tunakuja hapa Kuwalaumu wakati wako sahihi 100%.
Mimi Mtoto wa Shule ambaye ni Shabiki Lialia wa Simba na nikiwa na akili timamu kabisa, naahidi humu JF ya kwamba kuanzia leo mimi Mtoto wa Shule SITAKOMENTI CHOCHOTE kwenye post yoyote ya GENTAMYCINE inayohusu Simba Sports Club. 🙏🙏🙏🙏Halafu Wenzetu wakiwa Kutwa wanatucheka JF kuwa hatuna Akili tunakuja hapa Kuwalaumu wakati wako sahihi 100%.
Hapa hujakomenti?Mimi Mtoto wa Shule ambaye ni Shabiki Lialia wa Simba na nikiwa na akili timamu kabisa, naahidi humu JF ya kwamba kuanzia leo mimi Mtoto wa Shule SITAKOMENTI CHOCHOTE kwenye post yoyote ya GENTAMYCINE inayohusu Simba Sports Club. 🙏🙏🙏🙏
Nadhani haya mapito yatachukua miongo kadhaa, ni vizuri makolo wa pale mbumbumbu street mkubali na mzoee kipigo!!Kwa hiyo na mwaka huu pia maumivu yanaendelea tena pale Msimbazi? This is not fair.