Kwahiyo safari ya Azam mwisho ni mechi mbili kwenye klabu bingwa Afrika?

Kwahiyo safari ya Azam mwisho ni mechi mbili kwenye klabu bingwa Afrika?

G4rpolitics

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
4,369
Reaction score
5,248
Ni wa kuonea huruma, yaani akibahatika kumgonga APR ya Rwanda, yupo Mayele na Pyramid inamngojea, sawa waswhili wanasema mpira huwa unadunda lakini siyo kwenye tope.

Azam huko ungeachia wazoefu, Asante kwa kushiriki in advance. Nawasilisha.
 
Ni wa kuonea huruma, yaani akibahatika kumgonga APR ya Rwanda, yupo Mayele na Pyramid inamngojea, sawa waswhili wanasema mpira huwa unadunda lkn siyo kwenye tope, Azam huko ungeachia wazoefu, Asante kwa kushiriki in advance. Nawakilisha.
Mwanasimba punguza wivu

Bahati ya mwenzio usiikalie mlango wazi

Pambana na wewe ufike huko

Aahaaaaa
 
Ni wa kuonea huruma, yaani akibahatika kumgonga APR ya Rwanda, yupo Mayele na Pyramid inamngojea, sawa waswhili wanasema mpira huwa unadunda lkn siyo kwenye tope, Azam huko ungeachia wazoefu, Asante kwa kushiriki in advance. Nawakilisha.
Ving'ang'anizi sana azam kama walivyo watoto wa Ishmael ving'ang'anizi uwezo sufuri..
 
Azam ni yule graduate kimbelembele hajui kazi anaenda kwenye intavyuu anapita kwa koneksheni akipata kazi anashindwa kuifanya madhara yake wanamtumbua meanwhile ashawakosesha watu serious wapate hiyo kazi.
 
Ni wa kuonea huruma, yaani akibahatika kumgonga APR ya Rwanda, yupo Mayele na Pyramid inamngojea, sawa waswhili wanasema mpira huwa unadunda lakini siyo kwenye tope.

Azam huko ungeachia wazoefu, Asante kwa kushiriki in advance. Nawasilisha.
Unateseka ukiwa kwin?
 
Ni wa kuonea huruma, yaani akibahatika kumgonga APR ya Rwanda, yupo Mayele na Pyramid inamngojea, sawa waswhili wanasema mpira huwa unadunda lakini siyo kwenye tope.

Azam huko ungeachia wazoefu, Asante kwa kushiriki in advance. Nawasi
unafiki kama kwapa... mzigo upo kichwani... Jasho la nini?
 
Yaani mm nitamtumia huyu mwamba nampenda.... Mwanangu wa kikowapi
JamiiForums-1808228685.jpg
 
Mi naona hata Aperee TU anamtoa Azam maana niliona anakomaa kumfunga zimamoto utadhani Kuna kombe nje
Magoli magumu magumu
 
Back
Top Bottom