G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Mwanasimba punguza wivuNi wa kuonea huruma, yaani akibahatika kumgonga APR ya Rwanda, yupo Mayele na Pyramid inamngojea, sawa waswhili wanasema mpira huwa unadunda lkn siyo kwenye tope, Azam huko ungeachia wazoefu, Asante kwa kushiriki in advance. Nawakilisha.
Ving'ang'anizi sana azam kama walivyo watoto wa Ishmael ving'ang'anizi uwezo sufuri..Ni wa kuonea huruma, yaani akibahatika kumgonga APR ya Rwanda, yupo Mayele na Pyramid inamngojea, sawa waswhili wanasema mpira huwa unadunda lkn siyo kwenye tope, Azam huko ungeachia wazoefu, Asante kwa kushiriki in advance. Nawakilisha.
Pambaneni na shirikishoVing'ang'anizi sana azam kama walivyo watoto wa Ishmael ving'ang'anizi uwezo sufuri..
Unateseka ukiwa kwin?Ni wa kuonea huruma, yaani akibahatika kumgonga APR ya Rwanda, yupo Mayele na Pyramid inamngojea, sawa waswhili wanasema mpira huwa unadunda lakini siyo kwenye tope.
Azam huko ungeachia wazoefu, Asante kwa kushiriki in advance. Nawasilisha.
Afike huko mara ngapi? Sema kateleza tuu msimu huuMwanasimba punguza wivu
Bahati ya mwenzio usiikalie mlango wazi
Pambana na wewe ufike huko
Aahaaaaa
Kauliyako Ina ukweli ndani yakeUsije kushangaa wakitolewa na APR hata huyo muarabu wasikutane nae.
unafiki kama kwapa... mzigo upo kichwani... Jasho la nini?Ni wa kuonea huruma, yaani akibahatika kumgonga APR ya Rwanda, yupo Mayele na Pyramid inamngojea, sawa waswhili wanasema mpira huwa unadunda lakini siyo kwenye tope.
Azam huko ungeachia wazoefu, Asante kwa kushiriki in advance. Nawasi