johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hukuwepo kweli au unatupotezea baada ya uliokuwa ukiwapigia debe kushushiwa kitu kizito kichwani.Au ni mmoja wa mlioamini ripoti ya uchafuzi was mto mara🏃Nauliza tu kwa sababu sikuwepo hapa mjini kwa muda
Jana Mbowe kasema kutakuwa na Kamati ya watu 20 kutoka Chadema na CCM itakayoratibu hali ya siasa nchini
Naomba ufafanuzi!
Tulikuonya wewe na wachumia tumbo wenzako kwamba Chadema haiburuzwiNauliza tu kwa sababu sikuwepo hapa mjini kwa muda
Jana Mbowe kasema kutakuwa na Kamati ya watu 20 kutoka Chadema na CCM itakayoratibu hali ya siasa nchini
Naomba ufafanuzi!
Nchi ngumu sanaTulikuonya wewe na wachumia tumbo wenzako kwamba Chadema haiburuzwi
View attachment 2221993View attachment 2221994
Vyama vikuu kwa Tanzania ni viwili tu, tuwaache waongee kwa hatma ya nchi yetu.Nauliza tu kwa sababu sikuwepo hapa mjini kwa muda
Jana Mbowe kasema kutakuwa na Kamati ya watu 20 kutoka Chadema na CCM itakayoratibu hali ya siasa nchini
Naomba ufafanuzi!
ninaimani na mzee mkandalaNauliza tu kwa sababu sikuwepo hapa mjini kwa muda
Jana Mbowe kasema kutakuwa na Kamati ya watu 20 kutoka Chadema na CCM itakayoratibu hali ya siasa nchini
Naomba ufafanuzi!
Kuliko Chadema?ninaimani na mzee mkandala
Tatizo nyinyi mkilipwa elfu 7 huwa hamjiongezi tenaNchi ngumu sana
Ngoja tuoneTatizo nyinyi mkilipwa elfu 7 huwa hamjiongezi tena
Huyu Prof. Mkanda ndiye nani?Nauliza tu kwa sababu sikuwepo hapa mjini kwa muda
Jana Mbowe kasema kutakuwa na Kamati ya watu 20 kutoka Chadema na CCM itakayoratibu hali ya siasa nchini
Naomba ufafanuzi!
Nauliza tu kwa sababu sikuwepo hapa mjini kwa muda
Jana Mbowe kasema kutakuwa na Kamati ya watu 20 kutoka Chadema na CCM itakayoratibu hali ya siasa nchini
Naomba ufafanuzi!
Hahahahaha nilikuwa bahari kuu masala mafuta bwasheeUlikuwa jela nini?
Hahahahaha nilikuwa bahari kuu masala mafuta bwashee
Nauliza tu kwa sababu sikuwepo hapa mjini kwa muda
Jana Mbowe kasema kutakuwa na Kamati ya watu 20 kutoka Chadema na CCM itakayoratibu hali ya siasa nchini
Naomba ufafanuzi!