GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwakuwa mmeamua hivyo siyo mbaya!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa TISS Agent nimekuelewa sana tu.Ushindani daima ni mzuri unaongeza uwazi na options. Mambo a kujifungia chumbani hayafai kwa Usalama wa Taifa.
Hao matapeli wa Kichina wameshawaingiza Chaka Sri Lanka na Zambia..Zambia nao wamejibebisha kwa America kwa kumpa mamihodo ya kutosha Ili wajikwamue..Kwakuwa mmeamua hivyo siyo mbaya!!!
Alifingua I'd nyingineMkuu karibu sana baada ya kutoka kwenye Ban kubwa sana
Bibi gani?Waacheni wachukue tu . Tz ishakuwa kama shamba la bibi
Unahisi serikali imekosea kuwapa bandari wachina?Aisee bora Wamarekani. Haya mataifa ya Asia hayafai. Wakipewa Wachina unaweza kuta hakuna mtu atapata mshahara zaidi ya milioni mmoja. Hao jamaa wanatuonaga WaAfrika kama mbwa tu
Unamaanisha serikali iachane na mpango wa ujenzi wa bandari bagamoyo?Hao matapeli wa Kichina wameshawaingiza Chaka Sri Lanka na Zambia..Zambia nao wamejibebisha kwa America kwa kumpa mamihodo ya kutosha Ili wajikwamue..
Kama unawapenda hao Matapeli wa Kichina wapeleke kwenu Rwanda..
Wameichukua Kigamboni wakaipeleka wapi? [emoji116]
Unamaanisha serikali isitishe mpango wa kujenga bandari bagamoyo?bora mmarekani kuliko mchina
Nimeuliza wengine huko juu, ngoja na ww nikuulize. Unamaanisha serikali haipaswi kuendelea na huo mradi? Kwa maana ni mradi wa wachina na utafanya na wachinaBora hao wanaojali haki za binadamu kulikon wachina na ujira wao wanaotulipa ss wtz Mara Mia nzungu apewe kila mradi kuliko hao vimbilikimo
Mzee nani kasema wanaachana na mpango wa Ujenzi wa bandari? Bali wanaweza Muongeza US kamaMshirika Mwenza wa Tanzania..Unamaanisha serikali iachane na mpango wa ujenzi wa bandari bagamoyo?
Kwa maana wachina ndio wataojenga na kuichukua
Marekani haitaji bandari hapo, yeye ameba tu kutoa ushauri ikiwa serikali itataka.
Ngoja nibadilishe swali pengine unaweza kunielewa, ikiwa mchina ataendelea Kama ilivyopangwa, unashauri serikali kuachana na mradi huo?Mzee nani kasema wanaachana na mpango wa Ujenzi wa bandari? Bali wanaweza Muongeza US kamaMshirika Mwenza wa Tanzania..
Hata hivyo pale Bagamoyo sio bandari tuu bali na EPZ,logistics,Utalii, industrial City nk