Kwahiyo tunakosea kwanza ili Mungu atuoneshe njia sahihi ya kiuchumi na kijamii?

Kwahiyo tunakosea kwanza ili Mungu atuoneshe njia sahihi ya kiuchumi na kijamii?

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Bila shaka kama lisingekuwa Ile mistake ama hakika leo tungesema mengine labda after 5 year kwa majaliwa ya Mungu ningekuwa next Bakhresa kwenye maisha yangu ila ndiyo hivyo nilikosea kuna muda najilaumu ila kuna muda pia namshukuru Mungu kwa namna kama nimekosea kwa ujana na umri huu ama hakika ningekuja kukosea pakubwa sana miaka ijayo wakati tayari umri umeenda ila namshukuru mungu for everything.

Ama hakika nilikosea kumuamini yule mtu lakini pia namshukuru bila yule akili yangu is ingekuwa mature kama ambavyo leo akili yangu ipo imekomaa na ipo strong siyumbishwi na fikra yoyote au kidudu mtu yoyote yule what happen to me namshukuru Mungu kwa kila kitu kupitia yule mjinga akili yangu ipo well matured!

Thanks God for everything.
 
Keo ijumaa nenda ukaswali kwanza ukisha swali kula biliani na ukitoka hapo pumzika ukipunguza ushuzi wa biliani, mengine tuachane nayo.
 
Back
Top Bottom