THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Habari mwanajukwaa.
Jana kwa jirani moto umeanza kuwaka kumbe ule moshi ulikua unavuka ndani kulikua na moto hatukujua tu.😂
Zile ngonjera za kuwafunga kina GB 64 na kusema wanaihujumu timu.
Mara kuna watu wanavaa jezi za simba wanaisema vibaya makusudi.
Mara Yanga ana nunua Match na kahonga Hadi zile 5-1.
Zote hizi na zingine zile zilikua propaganda ila ukweli saivi mmeanza kuuona.
DOMINIKA NJEMA.
Jana kwa jirani moto umeanza kuwaka kumbe ule moshi ulikua unavuka ndani kulikua na moto hatukujua tu.😂
Zile ngonjera za kuwafunga kina GB 64 na kusema wanaihujumu timu.
Mara kuna watu wanavaa jezi za simba wanaisema vibaya makusudi.
Mara Yanga ana nunua Match na kahonga Hadi zile 5-1.
Zote hizi na zingine zile zilikua propaganda ila ukweli saivi mmeanza kuuona.
DOMINIKA NJEMA.