Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Baada ya mshambuliaji Mayele kuuzwa kwa lazima tukatangaziwa kwa mikogo mingi na huyo kijana anayeitwa Kamwe , kwamba timu hiyo italeta striker wa hatari !
Lakini Ukweli ni kwamba Waliosajiliwa ni magarasa tu , hamna kitu na ndio maana wanachomeshwa mahindi
Lakini Ukweli ni kwamba Waliosajiliwa ni magarasa tu , hamna kitu na ndio maana wanachomeshwa mahindi