Kwahiyo wale Washambuliaji Tulioaminishwa ndio Warithi wa Mayele bado Muunganiko unakataa?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Baada ya mshambuliaji Mayele kuuzwa kwa lazima tukatangaziwa kwa mikogo mingi na huyo kijana anayeitwa Kamwe , kwamba timu hiyo italeta striker wa hatari !

Lakini Ukweli ni kwamba Waliosajiliwa ni magarasa tu , hamna kitu na ndio maana wanachomeshwa mahindi

 
Ni mapema sana kwa mtu kama mimi kukubaliana na hizi shutuma zako. Maana timu ina zaidi ya mchezaji mmoja kwenye kila namba.

Hivyo mwalimu ndiye mwamuzi wa mwisho wa kuamua nani aanze, nani akae benchi. Na mwisho wa siku kinachotakiwa ni timu kupata matokeo. Na si vinginevyo.

Kumbuka Yanga siyo kama timu yako ya simba, ambayo Moses Phiri na Chama wasipocheza, basi kelele nchi nzima! Yaani utafikiri hakuna wachezaji wengine mbadala!!
 

Bado una shida mtani hutaki kukubali ukweli,Musonda ndio awembadala wamtetemesha maziwa?
 
JE WAJUA HAKUNA MCHEZAJI MPYA WA UTOPOLO ALIYEFUNGA GOLI HATA LA OFFSIDE[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…