Kwahiyo Watanzania tumekubali mgao wa umeme na maji ndiyo mfumo wa maisha yetu?

Kwahiyo Watanzania tumekubali mgao wa umeme na maji ndiyo mfumo wa maisha yetu?

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Hakika hii nchi takatifu sana kwa mazito niyaonayo Mimi lakini Watanzania masikini na unyonge wao hawana la kusema hata kumtaka MTU flani aondoke madarakani hakuna.
Kama haya yanavumilika basi nchi ni takatifu sana.

Kuna nchi mkate ulipanda bei wakaamua kwenda kula mikate ya kiongozi wao.

Mimi binafsi nimeupenda huu upole wa watanzania na tuendelee hivihivi mpaka wajukuu wasome historia zetu za kukaa bila umeme na kiu ya maji na vyanzo tunavyo wenyewe Ila kwa sababu ya UPUMBAVU wa viongozi.
 
Ni shida sana, Arusha haukatiki maana mama yupo, kumbe inawezekana. Ngoja aondoke uone mgao wake.
 
Kama mliambiwa mkiona shida hameni nchi na bado hamjahama mnalalamika tu, unategemea nini? wenye nchi ndio mnaongoza kwa kulalamika
 
Back
Top Bottom