4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Da mpaka nikakapige Mkuu ngoja nitakafanyia kazi mkuuWeka kapicha mkuu
Sory mkono Wa kulia toka bima mbele ya bima kuanzia pale kwa dogo mmoja anauzaga sigara na vitu vidogo dogo ila yuko pemben kidogo na barabara cha kivumbi toka nyerere square hapo panasadika unaweza nunua gari kwa bei che kukodi hata mwezi lakin sina huakikaNaenda moja kwa moja kwenye hoja Mkuu.
Kwanza nikupomgeze kwa jinsi unavyo bambana na wizi makao makuuu hapo Dodoma na sina shaka utendaji wako mkuu tangu ukiwa mwanza
Ila leo nataka nikuhongezehe tahalifa ,pale dom mjini jengo la bima karibu mkono wa kushoto kama unakuja lilipo jengo la Lpf la zamani ipo tetesi magari yanayo pack pale huwa ya wizi mkuu ,fanyia kazi ujumbe huu sina laziada
Sijui matusi ningekua najua ningetusi mpaka ukome ,ujira wangu wanitosha pumbafu ila samahani,wenda we ni mmoja waoWamekudhulumu mgao umeamua kuwachoma. Hivi kwa akili zako unadhani Polisi hawawajui hao wezi? Wanakula wote!
Siku wakiacha kula na polisi ndio watakamatwa. Bongo unatakiwa kutumia bongo!
Kuna uwezekano mkubwaNaenda moja kwa moja kwenye hoja Mkuu.
Kwanza nikupongeze kwa jinsi unavyo pambana na wizi makao makuuu hapo Dodoma na sina shaka utendaji wako mkuu tangu ukiwa Mwanza
Ila leo nataka nikuhongezehe tahalifa, pale Dom mjini jengo la Bima karibu mkono wa kushoto kama unakuja lilipo jengo la LAPF la zamani ipo tetesi magari yanayo pack pale huwa ya wizi mkuu.
Fanyia kazi ujumbe huu sina la ziada
Aisee sarufi inamushikeli. Nikuhongezehe= NikuongezeeNaenda moja kwa moja kwenye hoja Mkuu.
Kwanza nikupongeze kwa jinsi unavyo pambana na wizi makao makuuu hapo Dodoma na sina shaka utendaji wako mkuu tangu ukiwa Mwanza
Ila leo nataka nikuhongezehe tahalifa, pale Dom mjini jengo la Bima karibu mkono wa kushoto kama unakuja lilipo jengo la LAPF la zamani ipo tetesi magari yanayo pack pale huwa ya wizi mkuu.
Fanyia kazi ujumbe huu sina la ziada
.mimi sio mhadashi wa habari kwamba kila herufi nizingatie ,vipi nawe mmja wao ?pole mkuu ,upo pale mtandao mkubwa siku ikifika nitkabidhi muroto siku yaja japo kwa sasa yapo majukum ya kiofisi nipatapo ugali wa familia ,kama ni mmoja wao utakomaAsante kwa KUNIHONGEZEHA TAHALIFA..!!!
Ungepambana kwanza kujifunza kuandika vizuri, kuliko kuingilia kazi za polisi...!!!
ameeleweka vizuri tu.Asante kwa KUNIHONGEZEHA TAHALIFA..!!!
Ungepambana kwanza kujifunza kuandika vizuri, kuliko kuingilia kazi za polisi...!!!
Kwani kutoa tetesi kwa vyombo vya ulinzi ni jinai ? We Wenda ni mmoja wao mpuuzi mkubwa na sio lazima kila post u reply ,zingine kama hazikuhusu au una mada kaa kimyaAsante kwa KUNIHONGEZEHA TAHALIFA..!!!
Ungepambana kwanza kujifunza kuandika vizuri, kuliko kuingilia kazi za polisi...!!!