Kwanza pole na kaz ndugu yangu pongez zangu zikufikie kwa juhud zako nzur za usafili wako bomba kabisa wa bus zako za yutong za batco nina ushaur kidogo kwako kwanini bus zako zote ni mwanza musoma kwanini sio mwanza dar mwanza dom na mwanza bukoba leta gali zako mwanza dar upige hela huku kuna mabanz tu hakuna gali mayai kama yako leta mwanza dom achana na mwanza musoma nielewe pls fanya hivo ngosha