Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Ndio mkuuKwani bado hajawapatia hadi leo?
Nyumbaniupo wapi wewe
Ahadi ni deni mkuuJiwe kashasema Corona imeisha, kwahiyo lipeni kodi wenyewe
πππ mrejesho ni muhimu si alitangaza mwenyewe.mbona kishamaliza au ulitaka mpaka nawe upate?
πππ kumbe??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chezea domokaya weyeeeee n muongo had shetan anajifunzia kwake.
Ni kweli mkuu,nisipopata mimi watapata wengine ila mbona kakausha atoe mzigo.Kwani ulikuwa unasubiria msaada wake pia mkuu, navyokumbuka alisema atatoa kwa watu ambao hawawezi kulipa kodi kwa njia yoyote ile mfano walemavu na wazee
Kingine katika mji wa zaidi ya watu million 5 ambao wengi ni maskini, huoni chance ya kupata ni ndogo mno mkuu
Una taarifa kuwa hajatoa mkuuNi kweli mkuu,nisipopata mimi watapata wengine ila mbona kakausha atoe mzigo.