Kwako Diamond Platnumz...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chezea domokaya weyeeeee n muongo had shetan anajifunzia kwake.
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒjamaa ni muongo jiwe anasubiri
 
Angalia Wasafi TV utawaona baadhi ya watu wakisaidiwa kupitia watangazaji wa kipindi cha Asubuhi (Zembwela na wenzake) ndio wana mwakilisha Diamond.
 
Tuma majina yako3. Mkataba wa Chumba. Jina la mtaa na nambari ya nyumba. Majina ya mwenye nyumba. Jina la mjumbe wa mtaa. Na nambari zao za simu..

Eleza kwa kufupi kwa nini upatie msaada wewe na si watu wangine..
 
Tuma majina yako3. Mkataba wa Chumba. Jina la mtaa na nambari ya nyumba. Majina ya mwenye nyumba. Jina la mjumbe wa mtaa. Na nambari zao za simu..

Eleza kwa kufupi kwa nini upatie msaada wewe na si watu wangine..
Nitume wapi?
 
Angalia Wasafi TV utawaona baadhi ya watu wakisaidiwa kupitia watangazaji wa kipindi cha Asubuhi (Zembwela na wenzake) ndio wana mwakilisha Diamond.
Picha tafadhali mkuu zembwela na wenzake wakitoa mpunga kumuwakilisha diamond.
 
Picha tafadhali mkuu zembwela na wenzake wakitoa mpunga kumuwakilisha diamond.
Niliona kwenye Wasafi TV watangazaji wa Good Morning wakiongozwa na Zembwela,sina picha na kama huamini sikulazimishi sababu umechagua mwenyewe kutokuamini.
 
Naona TASAF ya Diamond ilikupitia pembeni ila unapaswa ujue kuwa usimwani mtu anayeitwa msanii
 
huyu jamaa amezoea uwongo, kubwa zaidi kila anapodanganya watu bado wanaamini, humu huletwa mada zake msg za big up kijana na kejeli kwa Kiba hujaa. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbona Ali Kiba nae aliahidi kuwalipa fidia wanaopisha ujenzi wa uwanja wake wa ndege kule shinyanga hadi leo haonekani na hawajui hatma ya maeneo yao walioyahama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…