peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
IGP, ujumbe huu ukufikie Popote ulipo.
Ni aibu kwa Serikali ya CCM kukosekana kwa kituo cha Polisi Itumbi.
Watu wanauawa kama nzige na hakuna kuripotiwa popote.
Nchi hii imekuwa ngumu sana!
Ni aibu kwa Serikali ya CCM kukosekana kwa kituo cha Polisi Itumbi.
Watu wanauawa kama nzige na hakuna kuripotiwa popote.
Nchi hii imekuwa ngumu sana!