Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Acha tu kwa kweliDuh! Mara hii mshakuwa pea?
sasa wataka nyota...kwani wew ni black hole""??Nina miaka 7 humu sijapata hata rafiki,gundu au sina nyota?
Asidai tu kupita mlango wa nyumaKhakhakhaaaaaaakhakhakakhaaaaaaa apo chacha..... Smart911 aseme anachotaka nitafanya kama ni kipya anifunze ntakomaa mpaka nijue ila mwenza hapana hapana
Hahahaha hujataka mkuuNina miaka 7 humu sijapata hata rafiki,gundu au sina nyota?
Unakosaje wewe sasa,huwezi kosaJolie mualikoooooo
Tatizo gari,najuta kuwahi kununua trekta kujifanya mkulima kunanitesa kweliInawezekana umezubaa mkuu, changamka kama hazard fc hapo
Sikia hebu tuyajenge PM kidogo!Kwanini sasa palantir
Nilishtuka kuona hii thread ingawa nilikutabiria mwezi April ni wako!!..[emoji23] [emoji23] [emoji23] ubaya uko wapi palantir,wakati nafasi ya ugeni rasmi bado ni yako
Nitafutie basiHahahaha hujataka mkuu
Huelewi nini?... Umefanya mambo kama ununuzi wa vifaru!Nashindwa kabis kuelewa[emoji23]
Uwiiiiii..niko kuvunja kabati mie..vipi pilipili zipo?Unakosaje wewe sasa,huwezi kosa
bakisha na ya kesho "" hahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahaa hahaHuelewi nini?... Umefanya mambo kama ununuzi wa vifaru!